Njaa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2009
- 1,022
- 412
Hello great thinkers
Nilisoma geography siku za nyuma, niliambiwa na mwalimu wangu wa shule ya kata kuwa, kupatwa kwa jua hutokea pale mwezi unapokuwa katikati ya dunia na jua, hii hufanya jua kuzibwa na mwezi kwa kiasi fulani na kutengeneza kitu kama kivuli kwenye uso wa jua. Inapotea hali hii, wale walio upande wa dunia ambao ni mchana watashuhudia kufifia kwa jua na wakati mwingine giza la kizushi mchana.
Swali langu ni hili, mwezi huzunguka dunia kwa siku 28, wakati huo dunia inaendelea na mzunguko wake kuzunguka jua. Kwa hali ya kawaida, nategemea kuwa ndani ya siku 28 ni lazima mwezi uwe katikati ya jua na dunia walau mara moja. Sasa mbona hii ishu ya solar eclipse ni nadra sana kutokea? au sikumwelewa vizuri mwalimu wangu wa jiographia?
Usiniambie niende ku-search google, hebu nisaidie kwa hili kama una uelewa nalo
Njaa
Nilisoma geography siku za nyuma, niliambiwa na mwalimu wangu wa shule ya kata kuwa, kupatwa kwa jua hutokea pale mwezi unapokuwa katikati ya dunia na jua, hii hufanya jua kuzibwa na mwezi kwa kiasi fulani na kutengeneza kitu kama kivuli kwenye uso wa jua. Inapotea hali hii, wale walio upande wa dunia ambao ni mchana watashuhudia kufifia kwa jua na wakati mwingine giza la kizushi mchana.
Swali langu ni hili, mwezi huzunguka dunia kwa siku 28, wakati huo dunia inaendelea na mzunguko wake kuzunguka jua. Kwa hali ya kawaida, nategemea kuwa ndani ya siku 28 ni lazima mwezi uwe katikati ya jua na dunia walau mara moja. Sasa mbona hii ishu ya solar eclipse ni nadra sana kutokea? au sikumwelewa vizuri mwalimu wangu wa jiographia?
Usiniambie niende ku-search google, hebu nisaidie kwa hili kama una uelewa nalo
Njaa