Kupatwa kwa Mancheter United

WATFORD3-1MAN FONGO pilipili hoho limechanganywa na nyanya limezudi kuwa tamu badala ya kuwasha
 
Washabiki WA Arsenal,Chelsea,Liver na Man City wanasema kufungwa kwa Man U kunachangiwa na yule jamaa aliewachafua watu WA Mbeya kwa kumshukuru mkuu kuwa ndio kasababisha jua lipatwe Mbeya sasa laana yake imeikumba Man U maana jamaa alikuwa mnazi WA Pogba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…