Washabiki WA Arsenal,Chelsea,Liver na Man City wanasema kufungwa kwa Man U kunachangiwa na yule jamaa aliewachafua watu WA Mbeya kwa kumshukuru mkuu kuwa ndio kasababisha jua lipatwe Mbeya sasa laana yake imeikumba Man U maana jamaa alikuwa mnazi WA Pogba.