Washabiki WA Arsenal,Chelsea,Liver na Man City wanasema kufungwa kwa Man U kunachangiwa na yule jamaa aliewachafua watu WA Mbeya kwa kumshukuru mkuu kuwa ndio kasababisha jua lipatwe Mbeya sasa laana yake imeikumba Man U maana jamaa alikuwa mnazi WA Pogba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.