increase
Senior Member
- May 3, 2023
- 105
- 185
Nimeku ignore piaNimesha kuignore. Wewe sio hadhi yangu. Byeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeku ignore piaNimesha kuignore. Wewe sio hadhi yangu. Byeeee
Sasa kama hujui hata yuko wapi unawezaje kumtetea kwamba anasema ukweli?Geof anasema ukweli bwana na Yuko clouds nadhani sijui km alihama mawingu
Utopolo wanakosekana vipi katika list ya wajinga wa nchi????list feki hiyoWajinga wa Taifa hili ni
Hajji manara
Steve nyerere
Lemutuz
Na mleta mada hii
We sema tu imekuuma kwakua ni shabiki wa YangaKuna mchambuzi anaitwa Geoff Lea nimemchukia sana siku za karibuni kwa upuuzi wake. Kimsingi EFM nzima imekosa weledi kwenye ishu ya uchambuzi. Wachambuzi wote pale wanaichukia Yanga na pia hawana maneno ya hekima wanapoongea.
Pamoja na weweWajinga wa Taifa hili ni
Hajji manara
Steve nyerere
Lemutuz
Na mleta mada hii
Hahahahaha kah! Nyie ndo mnafanya mashabk wa simba tuitwe mbumbumbuGeof anasema ukweli bwana na Yuko clouds nadhani sijui km alihama mawingu
Utopoloni wanaokolowa na mzee Sunday na kikwete mkuuUtopolo wanakosekana vipi katika list ya wajinga wa nchi????list feki hiyo
Imagine mashabiki wa yanga walivowajinga hawajawahi msema vibaya mpuuzi kitenge kisa anaisifia yanga tuWe sema tu imekuuma kwakua ni shabiki wa Yanga
Huyo Geaf Leah anaisifiaga sana Yanga lakini siku akiisema negative mnasema chuki.
Huyo Edo mwenyewe ambaye ni rafiki wa Manara naye analalamika kuitwa chambuzi wa mchongo na mashabiki wa Gongowazi.
Wachambuzi hawawezi kuwa wanafanya kazi kwa malengo ya kuwaridhisha nyinyi (feeding your ego) hiyo ni sawa na kuwa bootylicker
Wewe upo kundi lile ambalo mwenye akili ni mzee Sunday na kikwetePamoja na wewe
Wewe upo kwenye lile kundi la mambumbu!Wewe upo kundi lile ambalo mwenye akili ni mzee Sunday na kikwete
Yaani daima mwiko nyuma
Oohhh...thanksMvuta Bangi yule....yuko E-fm kwa wahuni wenzake
Namsikilizaga you tubeSasa kama hujui hata yuko wapi unawezaje kumtetea kwamba anasema ukweli?
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]Hakuna mchambuzi mwenye akili timamu anayetamani kupata aibu kwa hali ilivyo kusafiri na Yanga kwa sasa ni jambo la aibu unasafiri vipi na timu ambayo inaenda kukamilisha tu ratiba
Kukosea Kwa mwanadamu kawaida piaHahahahaha kah! Nyie ndo mnafanya mashabk wa simba tuitwe mbumbumbu