Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,877
- 5,022
Habari wana JF wenzangu.
Bila kupoteza muda me nipo huku border burundi nasikia tu kuna huduma ya M-Pawa kutoka Vodacom ila nashndwa kuielewa vizuri inafanyaje kazi, je faida na hasara zake ni zipi?
Naomba mwenye ufahamu mzur atudadavulie kwa kina zaidi
Ahsanteni
Bila kupoteza muda me nipo huku border burundi nasikia tu kuna huduma ya M-Pawa kutoka Vodacom ila nashndwa kuielewa vizuri inafanyaje kazi, je faida na hasara zake ni zipi?
Naomba mwenye ufahamu mzur atudadavulie kwa kina zaidi
Ahsanteni