Kupeane elimu kuhusu M-pawa

Kv-london

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
2,877
Reaction score
5,022
Habari wana JF wenzangu.

Bila kupoteza muda me nipo huku border burundi nasikia tu kuna huduma ya M-Pawa kutoka Vodacom ila nashndwa kuielewa vizuri inafanyaje kazi, je faida na hasara zake ni zipi?

Naomba mwenye ufahamu mzur atudadavulie kwa kina zaidi

Ahsanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…