Habari wana JF wenzangu.
Bila kupoteza muda me nipo huku border burundi nasikia tu kuna huduma ya M-Pawa kutoka Vodacom ila nashndwa kuielewa vizuri inafanyaje kazi, je faida na hasara zake ni zipi?
Naomba mwenye ufahamu mzur atudadavulie kwa kina zaidi
Ahsanteni