Kupendwa raha nyi acheni tu

Kupendwa raha nyi acheni tu

mimi bado nasubiria utusimulie kuhusu huko kupendwa unakokuzungumzia....
 
Malizia basi picha nzima Mkuu. Mlivyoshuka kituo kilichofuata yepi yalijiri?

Mzuka wanajamvi,

Siyo nawaringia ila Kupendwa raha.

Usiku huu nilipotoka mzigon (kubeba boksi) nilipanda basi nikakaa na mbibi. Nilipofika kwenye kituo changu nasimama kushuka yani kanishika mkono nakunizuia nisisimame na wala hatukuwa namazungumzo yoyote. Yani kakomaa na kungangania kabisa ikabidi nishuke kituo kinachofuata
 
Mzuka wanajamvi,

Siyo nawaringia ila Kupendwa raha.

Usiku huu nilipotoka mzigon (kubeba boksi) nilipanda basi nikakaa na mbibi. Nilipofika kwenye kituo changu nasimama kushuka yani kanishika mkono nakunizuia nisisimame na wala hatukuwa namazungumzo yoyote. Yani kakomaa na kungangania kabisa ikabidi nishuke kituo kinachofuata
Sawa, hongera kupendwa Na Mbibi
 
Acha uzuzu huyo mbibi kakutamani tu!

Halafu sio ishu kidume ku escalate mambo za kiboya ka hizi.
 
Mzuka wanajamvi,

Siyo nawaringia ila Kupendwa raha.

Usiku huu nilipotoka mzigon (kubeba boksi) nilipanda basi nikakaa na mbibi. Nilipofika kwenye kituo changu nasimama kushuka yani kanishika mkono nakunizuia nisisimame na wala hatukuwa namazungumzo yoyote. Yani kakomaa na kungangania kabisa ikabidi nishuke kituo kinachofuata

Oyaa njoo umalizie story wagonjewa huku.

Halafu nasikia siku hizi kuna wezi wa mifukoni yaani pickpockets wamewaibia watalii wa kichina maana walikuwa wamevalia kama polisi na wakawa wanawauliza ID na kama wana wallet.

Wakipewa wallet wanasepa nazo na kuiba fedha zote.

Vipi hiyo umeisikia?
 
unaongea na sim au?

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Back
Top Bottom