Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

Kuna tatizo kubwa kwenyd ndoa yenu.Binadam akiwa hali chakula kama inavyotakiwa hupelekwa hosptl kwani ni lazima kutakua na tatizo.Na mke wako atakua na matatizo.Kama ham yake iko chini aeleze mtafute solution,kama hataki kuna tatizo ambalo ni serious!

Haya mambo yakupeana ugal kume yabidi yachukuliwe kwa uzito wake badala ya kupigwa kijuujuu tu....Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wana jf, nimeoa na nina miaka 4 ya ndoa yangu, kadri siku zinavyokwenda napunguziwa dozi ya mapenz, zilizopita ilikuwa 5 mpaka 6 per month sasa hivi ni 1per month na anakua mkali yaani mpaka nibembeleze kama naomba employment ukipewa unaambiwa utapata tarehe kama hi next month nampenda sitaki kumsaliti naheshim ndoa yangu. Naombeni ushauri nifanyaje walau niongeze doz.
Young_Master wangu, nitakupa each our bby wangu, mpaka ukinai mwenyewe! lolest! pole kaka mwaya mi no comment kwako jamani kha!
 
inavyoonekana, umekuwa mvivu sana on bed na kuwa amempata anayemfanya afurahie hilo tendo.kwa hiyo wewe anakupa tu ili kukushikilia tu kwa muda fulani kabla hajaamua jingine. hebu kwanza boresha tendo kwa kumwandaa vizuri sana kabla hujamwingilia. kama hukuwa ukifanya hivyo, sasa anza mara moja.siku akikupa tu, take more than tem ninutes to prepare her by touching every sensitive area ki-mahaba.akinogewa kupita kiasi, atataka mara kwa mara. ndipo uhakikishe unamaintain standard asije akareshesha mzungu wa 4.
 
Habari zenu wana jf, nimeoa na nina miaka 4 ya ndoa yangu, kadri siku zinavyokwenda napunguziwa dozi ya mapenz, zilizopita ilikuwa 5 mpaka 6 per month sasa hivi ni 1per month na anakua mkali yaani mpaka nibembeleze kama naomba employment ukipewa unaambiwa utapata tarehe kama hi next month nampenda sitaki kumsaliti naheshim ndoa yangu. Naombeni ushauri nifanyaje walau niongeze doz.

:biggrin1: dah umenifurahisha kwani umekua mshahara huo mpaka upewe kila mwezi?

inaelekea haridhiki na sex kati yenu so jaribu kua innovative(mawazo mapya), uwe mnabadilisha style na sehemu, kama kila cku ni kitandani then jaribu sitting room, kitchen, nje kwenye garden utaona mwenyewe atakavoanza kuulizia zaidi
 
Young_Master wangu, nitakupa each our bby wangu, mpaka ukinai mwenyewe! lolest! pole kaka mwaya mi no comment kwako jamani kha!

my bebii....hata kama napika huwa naacha....a a....je yeye akisema hataki....si ntakufa mie.....
 
Sijui mnamuonea aibu kumwambia ukweli ?
Si mwambieni tu? Mnammung'unyia maneno ya nini ?
Braza mleta mada ni hivi : -
Hapo hamna ndoa! Ilikwisha expire!
Huo sio mshahara wa kupata mwezi mpaka mwezi .

mshahara wa mwezi unakuaga na advance bhana na kama unaweza vumilia kupata kwa mara 1 basi kausha kabisa akae nayo imchinie
 
hahahahah ndo hizi........

mkuu au hauna swaga kwenye majambozi? wife kachoka style hizo hizo tu miaka 4 sasa loh
 
my bebii....hata kama napika huwa naacha....a a....je yeye akisema hataki....si ntakufa mie.....
umeonaeee preta??? tena kwa umpendaye?? uwiiiiiiiiiiiiiii, nampaje sasa, wadada wengine bwana...........,mmhh mi no coment! YM, jiandae nataka ujisevie mpaka useme basi. ebo!
 
Mkuu uhusu shuguli niko fit na wakat mwingine nahofia labda naendesha mziki mkubwa ndo maana hali hii inatokea
 
Mkuu uhusu shuguli niko fit na wakat mwingine nahofia labda naendesha mziki mkubwa ndo maana hali hii inatokea
 
pole sana kaka. huwa inatokea wakati mwingine kukosa kabisa hamu ya hiyo kitu. cha maana ongea naye tu muone tatizo liko wapi ili uweze kumsaidia
 
Mkuu Paul Mathew, Umemwambia mkeo ya kuwa mara moja kwa mwezi hauridhiki na kiu yako haiishi? au umekuja kutuambia huku JF??

Kaa chini na mkeo mweleze jinsi gani hauridhiki! Nahisi atabadilika kama anakusikiliza.
 
Mkuu naona unarudishwa kwenye mapenzi ya wanyama ambao hupeana wakati wa heat tu. Mpereke mkeo kwenye counselling.Hii ni psychological problem
 
Ndio maana kwenye uislamu hiyo ni capital offence khaaaaaaaaaa si kutafutiana balaa huko. Kwa upande mwingine kuna haja ya kutumia hisani ya watu wa marekani hapo.
 
Hizo za mwanzo ilikuwa probation, karibia unafukuzwa kazi baba! Jaribu kuwa creative, inapaswa akikaa huko anakuwaza wakati wote! Wenzio tukiona job hatupandishwi cheo tunaenda idm mzumbe paaap, tunaruka na MBA. Fanya homework, acha uvivu banaa!
 
nafatilia kwa makini uchaguzi mkuu wa chuo kikuu cha dar es salaam,,nafasi ya urais.vijana wanapiga kampeni za kufa mtu,watoto wa wakulima wanapiga kampeni kwa fujo zote magari ya kifahari,muziki mkubwa,chuo chote kimeja picha za wagombea...hama kweli hawa ndio watoto wa wakulima kazi ipo

nitaweka picha


naomba kuwasilisha hoja waku
 
Back
Top Bottom