Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,308
mmhh hii mbaya sana..
nimeona na nimeshuhudia ..
kweli kweli jamani sijui watu wengine wanawazaga nini tu.
halafu baadaye anasigizia ni shetani alinipitia..
au samahani nilikuwa nimelewe..
yaani CHIKO natamani nikupe senks zaidi ya 100 kwa ajili ya hii thread..
hopeful wengi wataisoma..
asante sana mkuu
sisi wakurwa huwa atubigi, ni muendelezo wa mila, utamaduni & desturi.
mimi kuna mwanamke mmoja nilisoma nae yeye mwenyewe kuna time huwa anasema mwili unamwasha anatamani adundwe na maza wake sasa huyu akienda kwa mtu asiejua kupiga hakawii kudai talaka. Kwa wengine kupigwa ni sehemu ya mapenzi....
Wengine maneno hawayaelewi, unaonya ,unakanya, unashauri yeye kila siku jeuri tu , halafu anakupandisha hasira , kama binadamu hasira ikizidi unategemea nini-magumi? Lakini anayepigwa akielewa kosa lake, aah siku tatu hao wote shopping kama alivyosema mtoa mada, an life goes on! si ndo dunia ilivyo, na nahisi itabaki hivyo.
Wengine maneno hawayaelewi, unaonya ,unakanya, unashauri yeye kila siku jeuri tu , halafu anakupandisha hasira , kama binadamu hasira ikizidi unategemea nini-magumi? Lakini anayepigwa akielewa kosa lake, aah siku tatu hao wote shopping kama alivyosema mtoa mada, an life goes on! si ndo dunia ilivyo, na nahisi itabaki hivyo.
Wengine maneno hawayaelewi, unaonya ,unakanya, unashauri yeye kila siku jeuri tu , halafu anakupandisha hasira , kama binadamu hasira ikizidi unategemea nini-magumi? Lakini anayepigwa akielewa kosa lake, aah siku tatu hao wote shopping kama alivyosema mtoa mada, an life goes on! si ndo dunia ilivyo, na nahisi itabaki hivyo.
BAK unadhani kwa nini nawatamani,niwape khabar yao...
mmhh hii mbaya sana..
nimeona na nimeshuhudia ..
kweli kweli jamani sijui watu wengine wanawazaga nini tu.
halafu baadaye anasigizia ni shetani alinipitia..
au samahani nilikuwa nimelewe..
yaani CHIKO natamani nikupe senks zaidi ya 100 kwa ajili ya hii thread..
hopeful wengi wataisoma..
asante sana mkuu
kweli sikubaliani nawe..
unajua ukimpiga mwanamke
hauja muumiza mwili tu..
mateso ya moyo atakayo ishi nayo hutayatambua
na hata kuonyesha..
espacially kama mna watoto nani mwanamke wa kiafrica (sio wote)
atachukua vipigo vyote na kukuacha hakuachi ajili ya familia..
eti "life goes on"
life goes on na mwenzio anaishi namateso ya moyo..
pole sana dear dunia haiko hivyo sasa hivi..
hakuna kitu kibaya kama kumpiga mwanamke
atakaye kuzalia au alie kuzalia..
nimeshuka wanajamvi baada ya kukaa manyasini nikichungulia chungulia jamvi. Nimejaribu kujiuliza bila ya kupata jibu, hivi katika karne hii bado kuna mababa wanapiga wake zao!!.
Imenitokea mimi mwenyewe binafsi, ikabidi nihame nyumba, sababu jirani alikuwa na tabia mbaya ya kutwanga mke, natumai mwanipata..sio eti kuchapa vibao ama kuchapa mijeledi, laa kupiga na nia ya kuuuaa magumi mateke, jamaa anakanyaga kama ataka washa bajaj.
Ilikuwa usiku mmoja jamaa jirani(mtu na heshma zake,ofisaa fulani wa benki,sio eti vijana hawa wakihuni) kaingia nyumbani baada ya kutoka ulevini, majira ya saa za manane, twasikia mayowe na vurumai!!, kama majirani wema tumetoka kusaidia. Mara twagundua bwana apiga bibi. Hasira zikanipanda nikataka kuingilia lakini mwenzangu akaniambia "watu walalao blanket mmoja mambo yao usiiingiliee", nikapoesha hasira, na kwa kweli baada ya masiku kidogo hivi niliona majirani hao hao wameshikana mikono watoka shopping.......daahhhh nilihama mtaa huo.
Nimekuwa mpaka mtu mzima, sikuwahi kuona baba yangu na mama wakipigina, sasa imagine hio "trauma", kawaida mimi ni mtu mtulivu lakini nachukia sana maonevu!!!!
Jamani...hata kama ni itikadi zetu, (kuna makabila, bila kutaja yana mambo haya), jamani wana jf, kama kuna waume wenye tabia kama hizi humu, jamani wacheni tuwe wastaraabu. Kuna njia mbadala za kusuluhisha migogoro ya nyumbani sio kupigaaaaa......grrrrrrrrrrr