Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Dr. wa JF
Naomba kufahamishwa mimi kila ninapolala pindi niamkapo lazima nipige chafya mara tatu au mara nne. Hii haijalishi nimelala mchana au usiku na kuamka muda wowote.
Je hili ni tatizo kiafya?
Naomba kufahamishwa mimi kila ninapolala pindi niamkapo lazima nipige chafya mara tatu au mara nne. Hii haijalishi nimelala mchana au usiku na kuamka muda wowote.
Je hili ni tatizo kiafya?