Kupiga picha ni art! Check this...

Sio kwamba unachokiona kwa ukubwa ndio kilichojaza moyo wako [emoji4]
 
Msihukumu, msijekuhukumiwa.
 
Hamia huko unakoona ndio sawa na sio kuja kutugombeza huku kwenye sosho midia
 
Hamia Uislamu basi, mbona misikiti mingi hata mtaani kwako? Usituchoshe na imani za dini za vitisho!!

Maisha yenyewe mafupi bado unataka mtu aisha kama jehanam
 
πŸ™†πŸ»β€β™‚οΈ
 
Bila Shaka wewe ni mkristo. Ndiyo maana unaona Jambo la kawaida sana Hili.

Nakuhakikishia picha moja hii hii ingekuwa Hilo jengo ni msikiti reaction yake ingekuwa tofauti kabisa na ulichokommenti.

Waislamu wanapaswa kutufunza nini maana ya maadili.
You mean waislamu wanatakiwa kutufundisha jinsi ya kua illogical
 
Ukristo ni dini rafiki sana
 
Bila Shaka wewe ni mkristo. Ndiyo maana unaona Jambo la kawaida sana Hili.

Nakuhakikishia picha moja hii hii ingekuwa Hilo jengo ni msikiti reaction yake ingekuwa tofauti kabisa na ulichokommenti.

Waislamu wanapaswa kutufunza nini maana ya maadili.
Mungu hana mwakilishi duniani,acha kumpigania atachipigania mwenyewe

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Samahani wadau huyo chini kavaa viatu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…