Kupiga vizinga (kuomba omba hela) na selfishness mentality ni moja ya sababu inayofanya wadada wengi wasiolewe, au wawe single mothers

Kupiga vizinga (kuomba omba hela) na selfishness mentality ni moja ya sababu inayofanya wadada wengi wasiolewe, au wawe single mothers

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini

Utakuta ukimuuliza mdada kwanini hadi umri huo alio nao hajaolewa na yupo single, atakwambia hajaona mwanaume serious, baadhi ni kweli hawajapata wanaume serious, ila wadada wengine ni kwamba hata wao wenyewe hawapo serious kwenye hayo mahusiano wanayoingia.

Wanaingia kwenye mahusiano na mentality ya kujiuliza, aki-date na mwanaume flani, atafaidika vipi kipesa, iyo mentality inawafanya waangukie kwa waume za watu, au wanaume waongo waongo wanaofeki maisha. Ukiwauliza mbona wao hawa contribute chochote hata kidogo kwenye mahusiano linapokuja swala la pesa watakwambia "mwanamke hanaga pesa" 😁 hata kama yeye mwenyewe anafanya kazi.

Kwa mwanaume anaejielewa, hata kama alikuwa na nia ya kuoa, akiona mizinga inazidi, alafu hamna kitu mdada ana contribute kwenye mahusiano, labda kumpikia mara moja moja, kum-support kihisia na kimawazo, mwanaume anaona hapa hamna mke, anapiga anasepa.

Kuna baadhi ya wadada wanapiga mizinga kila mwanaume anaewatongoza, huwaga najiuliza hawa wadada hawanaga mpango wa kuolewa maisha yao yote 😁🙌🏾
 
kipindi nipo shule nilikuwaga napenda kukaa upande wa dirishan unaotazamana na jiko la shule.sasa sikumoja nikawa naona baba mpishi amefungua sufuria la maharaghe akaeka chumvi.eeh tena ni nyingi had akawa kama anawasiwasi kazidisha ikabidi atoetoe na kijiko lakin nahisi hakufanikiwa namtazama tuu.

Baada ya muda tena akaja mpishi mwingine nikamuona anafunguaa chumvi anamimina Aseee weeeh nilipiga keleleee sikujali mwalimu yuko darasan.

Usiwekee Ameshawekaaaa..😁 ....
 
Okay, upande wa wanawake imeisha...
Na wewe kinachokufanya usioe ni nini🤒🤒
 
tafuta mwanamke wa level zako ili ukiombwa usione kama ni vizinga bhana

kwanza kwanini usubiri kuombwa si utoe mwenyewe
Kwanini nyie msitafute hela zenu ili mkiingia kwenye mahusiano msiwe na iyo mentality ya kupewa hela? Tupo kwenye zama za 50/50 mmepewa uhuru na access zote za kujitafutia kwanini unatolea macho pesa ya mwanaume? Kama unauza uchi taja bei mmalizane hapo hapo then no kuombana ombana hela.
 
Wao si wameamua kumwaga ugali,sisi tunamwaga mboga,tunatia mkaa maji,na tunafunga jiko kabisa.

Unataka mwanaume awe serious ili mgundue kitu gani mbona baba zao hawakuwai kuwa serious na ndio wamewalea hadi leo?

Kimsingi wamechagua kuvuruga na wanaume wameamua kuharibu.
 
Hivi kwani sisi wanaume tunataka nini?

Mbona hatusemi?
Tunataka Amani ambayo mwanamke ataileta katika mfumo wa kusikiliza anachoelekezwa na sio anachotaka yeye,kutii muongozo wa mwanaume na kuwa muelewa, awe anajali asiwe mgaigai na mawenge,awe anaridhika na kilichopo asiwe na tamaa,awe rafiki,asiwe kahaba wala malaya,awe na subira, na muhimu kabisa aishi maisha yake kwa kumcha mungu.
 
Back
Top Bottom