mabutu1835
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 909
- 1,425
DP World wapewe na TRC wapige dealz.Nilikuwa kama namuogopa vile ila kumbe fresh tu nilipiga yule demu wa jamaa hadi sikuaminini kwani ilifikia hatua alikuwa analipia hadi hotel na anamuaga jamaa tunakaa wiki.Hebu tupe ya kwako ili tujipongeze kuwa sisi ni wajanja.
Umefungua kathread ukiwa kanisani mtumishi?πhata hatujatoka kanisani jamani
Ni sahihi. Wawe wanafuta hizi nyuzi za kipuuzi zinajaza server tu bila sababu yoyote ya msingi.MODERATOR MNAFANYA KAZI GANI HUKO ,MADA ZA KIPUUZI KAMA HIZI MNAZIACHA
Technology imekuwa sana acha wapost tu server hazijai kirahisiNi sahihi. Wawe wanafuta hizi nyuzi za kipuuzi zinajaza server tu bila sababu yoyote ya msingi.
Hahaaa....sio case hiyo ukikua. Kaeni hata mwaka hamna shida.Nilikuwa kama namuogopa vile ila kumbe fresh tu nilipiga yule demu wa jamaa hadi sikuaminini kwani ilifikia hatua alikuwa analipia hadi hotel na anamuaga jamaa tunakaa wiki.Hebu tupe ya kwako ili tujipongeze kuwa sisi ni wajanja.
Jf monger'sπππ€£π€£Umefungua kathread ukiwa kanisani mtumishi?π