Kupigwa na jua ni muhimu kuliko tunavyodhani

Sema maisha yetu haya nadhani tutakua tunazidisha kabisa
Inategemea. Unakuta mtu maisha yapo chini lakini hapati kabisa jua. Kama wale wanaofanya kazi ndani viwandani, watu wa ndani ndani masokoni, wazee, watu wa maofisini na wa biashara ambazo zinawafanya wakae ndani muda wote.
 
Najiandaa kwenda church nashangaa jua hilo limeingia ndani..,nikafungua mlango Kabisa linipige vilivyo☹️...bahati iliyoje kufuatwa na jua kwa sebule😜
Bahati sana. Inabidi mipango miji wanapokata viwanja au kuruhusu maghorofa sehemu za makazi wahakikishe haki ya mtu kupata jua inazingatiwa. Siyo mtu anajenga mghorofa mbele yako na kukuzuia jua.
 
Jua la Bongo ukifanya mchezo unaweza kuzimia
 
Mwisho saa 4 asubuhi na jioni kuanzia saa 11 na nusu hivi, lasivyo utapata burnouts🤣
 
Mmhh kibongo bongo siyo kwa jua la Dar na Dom, hata hivyo ni jua la asubuhi ndio lenye vitamin, sasa we jianike mchana wa kiangazi uone kama hujazeeka kabla ya wakati
[emoji16]
 
Bahati sana. Inabidi mipango miji wanapokata viwanja au kuruhusu maghorofa sehemu za makazi wahakikishe haki ya mtu kupata jua inazingatiwa. Siyo mtu anajenga mghorofa mbele yako na kukuzuia jua.
Yeah that’s it
 
Kati ya wabongo m61, wabongo m60 tunapigwa na jua kika dakika. Kuanzia age 0.

Wale m1 ndo wadosi wa masaki, wauzaji masomoni na mahausi geli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…