Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka

Ni nchi gani duniani ambako makampuni hayatoi mawasiliano yanayohitajika na serikali?

Haya ndo madhara ya kudandia vitu bila kushirikisha akili.
Wewe endelea na hizo brainwash zako kutetea mashetani
 
TOKA MAKTABA :


View: https://m.youtube.com/watch?v=8TfzC4fmUHg

Paul Makonda apigwa marufuku kuingia Marekani​


Chanzo cha picha,AFP
Maelezo ya picha,Marekani inamshutumu Makonda kwa kushiriki katika ukandamizaji wa haki za binaadamu Tanzania.

31 Januari 2020
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, apigwa marufuku kuingia Marekani.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani leo Ijumaa, Januari 31 2020 marufuku hiyo pia inamhusisha mke wa Makonda Bi Mary Felix Massenge.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Makonda anashutumiwa kwa kushiriki katika ukandamizaji wa haki za binaadamu.

Ukandamizaji wa haki ambao Makonda anashutumiwa kuutenda ni pamoja na kunyima watu haki ya kuishi, haki ya uhuru wa kujiamulia mambo na usalama wa watu
 
Awali niliamini usalama wa taifa wanamiliki mtandao wa simu, hasa nilipoona simu za waharifu wasiojulikana hawapatikani. Kumbe tigo inatumiwa na dola kutekeleza uharifu wao. Tigo watanisamehe, line yao nimeivunja vipande.
 
Hapana,Tigo makao makuu yao Africa yalikuwa London,huyu alikuwa anafanya kazi London
Ndugu, hivi unajuwa maana ya universal Jurisdiction? Ni kampuni inayomilikiwa na waingereza au subsidiaries zake. Hii peeke inamoa Lissu locus standae ya kufungua kesi huko London.
 
Ni nchi gani duniani ambako makampuni hayatoi mawasiliano yanayohitajika na serikali?

Haya ndo madhara ya kudandia vitu bila kushirikisha akili.
Makampuni yanatoa, lakini kwa kibali cha mahakama . Usiaminishe watu uongo kwa kuhalalisha uvunjaji wa sheria unao fanywa na serikali ya CCM.
 
Tigo walimtumia mtu kwa whatsap- halafu zikafutwa- kesi tamu sana hii- hata hili kamouni litahusika kuleta metadata za hiyo whatsap iliyofutwa. Ngoja Lissu afungue kesi... watajulikana tu ni akina nao hao walipewa na ku mtrack huy Lissu
 
Lissu akifungua kesi ya madai dhidi ya Kampuni hiyo ya simu atavuna mabilioni kama fidia.

Ila kesi hiyo akaifungulie mahakama ya Uingereza asiifungulie mahakama ya hapa Tanzania.
 
Kumbe kampuni za simu zinavujisha siri za mawasiliano ya wateja wao bila kufuata sheria?
Ndio maana yake, halafu hata hadi sasa haya makamouni hayajasema chochote, ni kama vile wana matutusa ya kiwango cha sgr huko kwenye vitengo vyao vya Public relation
 
Ni nchi gani duniani ambako makampuni hayatoi mawasiliano yanayohitajika na serikali?

Haya ndo madhara ya kudandia vitu bila kushirikisha akili.
Kwahiyo wewe unajua sana kuliko watunzi wa sheria za kumlinda mpewa huduma?
 
Hili jambo liko wazi kuwa ni serekali ndio ilihusika kwa maagizo ya dhalimu magu.
Akiwemo msaidizi wake aliyetamka kwamba kujiteka ni drama, na ameagiza uchunguzi wa kifo cha mzee Ali Kibao wakati shambulio la mwaka 2017 la Tundu Lissu hawajamaliza
 
Mi nashangaaga ambapo mtu anawabeza wafadhili wa uchaguzi na miradi mbalimbali ya nchi,wakati anawategemea.
Niliwahiambiwa kua anaponyata malaika,mpumbavu hutembea kwa kishindo.
Wazungu wataifanya nini CCM?
 
Hatari na yeye akasisitiza "that is government".
 
Ndiyo maana Osama Bin Laden alikuwa hatumii simu kabisa.

CHa msingi tu unyooke tu ,kama kuna maongezi ya kimagumisha ni 121.
 
Kupigwa kwa msaliti siyo habari
Tatizo ni kiungo unachotumia kufikiria kina walakini, uzi unazungumzia kampuni ya TIGO imepelekwa mahamani kwa kutoa taaifa na location ya Tundu Lissu.
Hebu tumia kichwa kujibu acha kutumia kinanihii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…