Kupika vs kula kwa mama ntilie ni kipi nafuu na kusave hela?

Kupika vs kula kwa mama ntilie ni kipi nafuu na kusave hela?

Mi katika ubachela naona kula kwa mama ntilie ni bora zaidi.

Ntatengeneza nyumbani labda breakfast, matunda au smoothies

Hata vifaa vya kupika sina mpango wa kununua.
Sipendelei na muda pia haupo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
PIKA PIKA PIKA PIKA PIKA PIKA MWENYEWE UTASEVE PESA UTASEVE MUDA ITATEGEMEANA NA UTAYARI WAKO NA WEWE ULIVYOJIANDAA ILA
PIKA PIKA PIKA PIKA MWENYEWE.
 
Ubora na Kusave pesa kunatokana na Mtu mwenyewe.
Naamini utakuwa kijana wa Chuo mwenye nia ya Kupanga auTayari umepanga.

Nitakushauri kama ifuatavyo.
PIKA endapo;

1.
Mpo zaidi ya Mmoja (wawili na kuendelea).
-Hapo itakusaidia kisave money sana.

2. Upo maeneo ambapo chakula chake ni ghali sana na Ni special kwa ajili ya starehe na sio kwa kijana kama wewe ambae unataka ule ushibe kisawa sawa.
-Mfano Chakula >3000 ni bora upike.

3.Ubora wa Chakula kwa maman'tilie.
Kuna maeneo chakula wanachoandaa unaweza sema ni special kwa nguruwe mf.kipindi nasoma nilipanga Mwenge- Mpakani hawa akina mama wote wabovu kwenye kupika.

4.Upatikanaji wa Chakula.
- Kuna maeneo mengine kupata sehemu wanayouza Vyakula ni mtihani unaweza tembea takribani 1km ndio upate hiyo R& B

5.Kama sio Mvivu Kupika na Kuosha Vyombo

6.Uwe Unajua Kupika.
-Sio unapika Vyakula vya ajabu mara wali mbichi|Boko boko, Mafuta hayaivi n.k

Usipike kama;

1 .Chakula ulipo kinapatikana kirahisi na kwa bei rahisi.
Mfano Maeneo karibu na Vyuo.
Hapo unapoteza muda wako tu.

2.Kama upo pekee.
Usijaribu kupika BUT Jaribu kurejea ushauri hapo Juu uone kama kuna sababu ya msingi inayoweza kuificha|kuiondoa hii sababu.


Nimechoka kutype. (N.K)
Asante kwa ushaur

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni bachela, pika mwenyewe! Utapunguza sana gharama. Huna sababu ya kula kwa mama ntilie. Halafu unatakiwa ule mara mbili tu kwa siku. (Breakfast plus Lunch) na Dinner.

Viporo kwa wingi! na hayo ndiyo maisha ya geto. Ukipika wali leo, unakula mpaka kesho. Hakuna kumwaga chakula. Vyombo unaosha mara moja tu kwa wiki! Jiko la gesi ndiyo mpango mzima.
Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni bachela, pika mwenyewe! Utapunguza sana gharama. Huna sababu ya kula kwa mama ntilie. Halafu unatakiwa ule mara mbili tu kwa siku. (Breakfast plus Lunch) na Dinner.

Viporo kwa wingi! na hayo ndiyo maisha ya geto. Ukipika wali leo, unakula mpaka kesho. Hakuna kumwaga chakula. Vyombo unaosha mara moja tu kwa wiki! Jiko la gesi ndiyo mpango mzima.
Fata huu ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakulaga kwa mama ntilie au restaurant kama nadharura sana, nikiangalia mazingira ya mapisha nikiona bkuli sahani na kijiko kinavyooshwa maji ni hayo hayo kriiiii wakati nafanya kazi ya kuajiriwa nilikuwa napiga desh mchana nakunywa maji kwa wingi jioni najipikia nyama nusu 3000 na ndizi za buku mchemsho safi na asubuhi unagonga uliobaki.

Kula chakula ulichopika unakuwa na amani sana
 
Back
Top Bottom