Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,540
Mimi huwa napenda Sana kucheki afya yangu na hasa vipimo vikubwa Kama H.I.V ninaweza kucheki mara 3 kwa mwaka au chini ya hapo ila mwenzagu yeye ni mbishi wa kupima H IV balaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sidhani hata kama alishawahi kupima.
Ukitaka kukosana nae mwambie twende tukapime, nikimwambia nimetoka kucheki afya utasikia naomba majibu haraka utafikiri kapima yeye. Ataanza sasa kuniambia ohoo utakuwa unachepuka, kwa nini unapima mara kwa mara.
Sijui hivi na vile mpaka anakasirika na mimi wala sichepuki ila napenda tu kujua afya yangu. Mara anishauri nisiwe napima mara kwa mara na mimi napenda. Je, kwani mtu kucheki afya mara kwa mara ni uhuni???
Ukitaka kukosana nae mwambie twende tukapime, nikimwambia nimetoka kucheki afya utasikia naomba majibu haraka utafikiri kapima yeye. Ataanza sasa kuniambia ohoo utakuwa unachepuka, kwa nini unapima mara kwa mara.
Sijui hivi na vile mpaka anakasirika na mimi wala sichepuki ila napenda tu kujua afya yangu. Mara anishauri nisiwe napima mara kwa mara na mimi napenda. Je, kwani mtu kucheki afya mara kwa mara ni uhuni???