Kupima HIV mara kwa mara: Je, ni kuangalia afya tu au kutokutulia kwenye mahusiano ndio sababu?

Lazima mmoja wenu anachepuka, hakuna sababu ya kupima HIV mara tatu kwa mwaka kama wote mnaaminiana na mnaheshimu ndoa. Sikujui superwomen 2, ila nahisi kama wewe ni mkweli vile, ila tatizo lipo kwa mumeo, nahisi atakuwa anachepuka. Next time mmburuze naye akapime, akome kujidanganya kwa kupima by proxy.
 

Mtulie shaka huyo. Hana iman na matendo na majibu yake. Pambana nae afike kituoni kwa ajili ya kupimwa
 
Huo mpango wa kumpeleka kupima ninao sana. Ila Sijamwambi. Lazima ataenda
 
Ni vyema kucheki mara kwa mara,regardless....inaweza kusaidia kwa PEP ikitokea ajali au chochote sababu utakuwa unafahamu afya yako kwa ukaribu tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…