Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,540
- Thread starter
-
- #41
Siogopi chochote kwani maradhi tumeumbiwa wanadama na wanyamasiku utakapocheki na kukuta umeambukizwa,ndo utajua ubishi wa kupima unasaidia.
Yeah. Si mwamini kweliMajibu ni mawili ama hujatulia au humwamini mwenzako
SawaUnachokitafuta utakipata
Haya,UKIMWI UPO,pata uandike ivi.Siogopi chochote kwani maradhi tumeumbiwa wanadama na wanyama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi sijawahi kupima tangu nizaliwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mpo wengi
SiogopiHaya,UKIMWI UPO,pata uandike ivi.
Loh hongera[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi sijawahi kupima tangu nizaliwe
Haya
Uende na weweNingekuwa na mwanamke kama wewe basi ningefaidi sana na ningekuwa nakuhimiza uende kupima zaidi ya mara hizo ulizoenda.
SawaUkipenda sana kupimapima ukimwi ipo siku utaupata ili uridhike!
OkSijawahi kupima ukimwi wife akipima kwenye ujauzito inatosha kujua afya zetu