Wana jf naomba kujuzwa ni wapi nitapata clinic ya kupima macho kwa kiwango kizuri. Mzee wangu anajitaji huduma ya kupimwa macho haoni vizuri. Natanguliza shukurani!
Nenda Msimbazi eyes center, iko pale Kariakoo kituo cha Msimbazi ukiwa unaelekea au unatokea Faya...
Hawa wana specialist kutoka CCBRT yuko njema sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.