said reuben
Member
- Dec 22, 2018
- 62
- 28
Samahan jamani nimecheki magonjwa kibao sikutwi na tatizo lakin mtu bado najihisi naumwa, ukimwi ndo karibu mara nane sasa tangu mwaka uanze lakini hamna kitu nataka kujua nikipimo gani unaweza pima magonjwa yote na ni sh ngap??