Kupima ni ishu nyie

Hivi nanzaje kwenda kupima ilihali najua kabisa ninachoenda kukipima akina tiba..! Iko ndio kihelehele cha kutafuta kufa kwa kihoro mapema kabla ya siku zako.. Wenye roho zenu mpimage tu
 
Tumia kondomu dada
 
Ahhahahaahhaha acha ungese
kushkana makalio inakujaje kujaje


Si unajuwa katika hali ya kufundishana kuna ile mtu unajisahau au kwa makusudi tu unataka kumpima mwanafunzi unashika kalio kiushikaji ili kuona mwanafunzi ata react vipi.
 
Duh.! Tangazo lako limekaa vizuri kweli jiandae na PM za vidume ila usisahau nauza majeneza bei chee!
 
Hongera Kwa Kupima na hongera kwa kuwa Negative...vijana Was haja wazee was Kavu kavu Ulimi umewatokaje[emoji115] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji6]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…