Kupima ni ishu nyie


Hicho kipimo sio confirmation kuwa huna HIV, HIV/AIDS ni complicated kuliko unavyodhani. Kuna watu wanakuwa na HIV lakini wakipimwa majibu ni -:

What is the window period for an HIV test?

The window period is time between potential exposure to HIV infection and the point when the test will give an accurate result.

During the window period a person can be infected with HIV and be very infectious but still test HIV negative.

The window period for a 4th generation antigen/antibody test is four weeks. At this time 95% of infections will be detected (see Figure 7). There is a three month window period after exposure, for the confirmatory result to detect more than 99.9% of infections.

Kuna watu window periods zinaenda mpaka zaidi ya mwaka.

See What is the window period for an HIV test? | Guides | HIV i-Base

Tanzania kama ilivyo America, kuna watu wengi wana maambukizi ya HIV lakini hawajijui: About 15% of Americans with HIV don't know they're infected, CDC report says
 
Nishawah kupima na vipimo vyote vya HIV ,kwanini wengine vinasoma vimistari viwili,,basi nna damu nzuri au sio
 
Ulipa kutaka kujua afya yako au kuna kitu kilikusukuma kupima? Au ulikuwa na hofu Gani hadi ujilipue kwa kupima nini hasa ulikuwa unategemea katika vipimo hivyoo? [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Nishawah kupima na vipimo vyote vya HIV ,kwanini wengine vinasoma vimistari viwili,,basi nna damu nzuri au sio

Kama ulishawahi kupima halafu ukafanya ngono hapa katikati, hakuna guarantee kwamba wewe huna maabukizi ya HIV.
 
Kama ulishawahi kupima halafu ukafanya ngono hapa katikati, hakuna guarantee kwamba wewe huna maabukizi ya HIV.
Sawa nnao,happy!!ahahah
Basi kila mtu anao kama ni hivyo
 
Ulipa kutaka kujua afya yako au kuna kitu kilikusukuma kupima? Au ulikuwa na hofu Gani hadi ujilipue kwa kupima nini hasa ulikuwa unategemea katika vipimo hivyoo? [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Siku nyingi tu sijapima kama miaka miwili
 
Hivo vidude nilivijulia nlipopataga demu nesi,,cku kaja magetoni niruke nae c ndo akatoa hvo vidude et tupime ngoma kwnza la sivyo hamna show,,mtt wa kiume nkajikaza tukapima tukaskizia majibu tuko poaa

Aisee baada ya pale nilimkaza show ya kibabe sana mpk hatonisahau yule nesi mana alinirushia sna stimu na mambo yake ya kutoboana kutoa damu asee
 
Natamani ningekuona sura yako D sekunde chache kabla ya kupewa majibu. Bila ya shaka ulizeeka ghafla na sura kujaa hofu kubwa. 😵😵😵

 
Sidhani kama kuna mtu muoga ngoma kama mimi hapa duniani!....Yaani mimi nikikumbuka ngoma dushe yangu huwa inalala miezi sita straight!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…