Kupima ni ishu nyie

Huwa namtumia mke wangu akipata mimba watampima wakimkuta salama najua na mimi nipo safe
 
Hiyo miaka miwili yote unagegedwa??
 
last time nilipima kwa sbb boya mmoja alidai nmemuua kwa kumpa ngoma prior to HIV test kwa sbb ya mawazo kwamba sina kid, shule haijaisha nilijikuta nakuwa mlevi kinoma zile initial dalili za ngoma nilikuwa nazipata, two lymph node swelling pande za shingo zilikuja niliamua kupima nkakuta nko okay... baada ya wiki nkacheza faulo mbaya now najipa moyo tu, sipimi tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…