Kupima saizi ya kiuno kwa shingo

Kupima saizi ya kiuno kwa shingo

Joined
Sep 13, 2023
Posts
35
Reaction score
46
Pole na hongera ya nguvu kwa majukumu ya leo ndugu mpamabanaji na muwajibikaji.

Langu ni moja tu, nalo ni hili. Hivi mtindo wa kujipima mathalani, unanunua suruali au sketi halafu eti unapima saizi ya kiuno chako kwa kuzungushia kiuno cha ile suruali shingoni mwako ili kujiridhisha kama inakutosha ama lah.

Je, chimbuko la ubunifu huu ni wapi na kipimo hicho huwa ni sahihi?

Asante.
 
Hicho kipimo sijawahi kukielewa na wala sijawahi kuona connection ya shingo na kiuno ipo wapi
Kuna kiuno (wale wa zamani) walivalia kiunoni na hao ndio waliobuni hicho kipimo kuna connection kati ya shingo na kiuno.

Kuna makalio (siku hizi) wanavalia mlegezo hivyo kipimo cha shingo hudanganya, hakuna connection kati ya makalio na shingo

So hicho kipimo hakina maana yoyote siku hizi
 
Kuna kiuno (wale wa zamani) walivalia kiunoni na hao ndio waliobuni hicho kipimo kuna connection kati ya shingo na kiuno.

Kuna makalio (siku hizi) wanavalia mlegezo hivyo kipimo cha shingo hudanganya, hakuna connection kati ya makalio na shinfo

So hicho kipimo hakina maana yoyote siku hizi
You can say that again.
 
Kuna kiuno (wale wa zamani) walivalia kiunoni na hao ndio waliobuni hicho kipimo kuna connection kati ya shingo na kiuno.

Kuna makalio (siku hizi) wanavalia mlegezo hivyo kipimo cha shingo hudanganya, hakuna connection kati ya makalio na shinfo

So hicho kipimo hakina maana yoyote siku hizi
Umesahau vitambi. Zamani zilikuwa nadra.
 
Kama mimi, sijawahi kununua ngua nikapima kiuno shingoni ikaenda kunifit
Kuna siku nikawa nachagua nguo nikawa natafuta size number kwenye upindo

Mara muuzaji akawa ananiambiaa usianhalie sana hizo number huwa zinatofautiana kulingana na nchi iliyotengenezewa hiyo nguo

Chakufanya pima shingoni.

Nikamuambia nipime shingo kwani nainunua ili nikajinyongee au nikaivae?
 
Kuna kiuno (wale wa zamani) walivalia kiunoni na hao ndio waliobuni hicho kipimo kuna connection kati ya shingo na kiuno.

Kuna makalio (siku hizi) wanavalia mlegezo hivyo kipimo cha shingo hudanganya, hakuna connection kati ya makalio na shinfo

So hicho kipimo hakina maana yoyote siku hizi
Mimi sivalii suruali kiunoni
 
Back
Top Bottom