Kupima saizi ya kiuno kwa shingo

Kupima saizi ya kiuno kwa shingo

Kuna siku nikawa nachagua nguo nikawa natafuta size number kwenye upindo

Mara muuzaji akawa ananiambiaa usianhalie sana hizo number huwa zinatofautiana kulingana na nchi iliyotengenezewa hiyo nguo

Chakufanya pima shingoni.

Nikamuambia nipime shingo kwani nainunua ili nikajinyongee au nikaivae?
Enh akademaje?

Itaendelea?
 
Pole na hongera ya nguvu kwa majukumu ya leo ndugu mpamabanaji na muwajibikaji.

Langu ni moja tu, nalo ni hili. Hivi mtindo wa kujipima mathalani, unanunua suruali au sketi halafu eti unapima saizi ya kiuno chako kwa kuzungushia kiuno cha ile suruali shingoni mwako ili kujiridhisha kama inakutosha ama lah.

Je, chimbuko la ubunifu huu ni wapi na kipimo hicho huwa ni sahihi?

Asante.
Kipimo ni sahihi
 
images - 2023-10-18T222052.834.jpeg
 
Ni vipimo sahihi kabsaaa,,, hata kipimo Cha kiatu sio lazima kuvaa kiatu unaweza pima Kwa kulaza kiatu kwenye mkono yaan pingili inayoshikilia kiwiko chako unalaza kiatu usawa wa soli mwanzo na mwisho kuelekea kwenye kipeps [emoji23]/ sijui mnaitaje ,,pia kupima UREFU wako ukitanua mikono yako ndio UREFU wako,, kama unapinga fanya majaribio
 
Pole na hongera ya nguvu kwa majukumu ya leo ndugu mpamabanaji na muwajibikaji.

Langu ni moja tu, nalo ni hili. Hivi mtindo wa kujipima mathalani, unanunua suruali au sketi halafu eti unapima saizi ya kiuno chako kwa kuzungushia kiuno cha ile suruali shingoni mwako ili kujiridhisha kama inakutosha ama lah.

Je, chimbuko la ubunifu huu ni wapi na kipimo hicho huwa ni sahihi?

Asante.
Mara zote huwa ni sahihi changamoto iwe labda hipps na urefu, pia mkono wako hadi kwenye kiwiko ni kipimo cha kiuno pia
 
Kuna siku nikawa nachagua nguo nikawa natafuta size number kwenye upindo

Mara muuzaji akawa ananiambiaa usianhalie sana hizo number huwa zinatofautiana kulingana na nchi iliyotengenezewa hiyo nguo

Chakufanya pima shingoni.

Nikamuambia nipime shingo kwani nainunua ili nikajinyongee au nikaivae?
Kichwa chako😂😂😂
 
Pole na hongera ya nguvu kwa majukumu ya leo ndugu mpamabanaji na muwajibikaji.

Langu ni moja tu, nalo ni hili. Hivi mtindo wa kujipima mathalani, unanunua suruali au sketi halafu eti unapima saizi ya kiuno chako kwa kuzungushia kiuno cha ile suruali shingoni mwako ili kujiridhisha kama inakutosha ama lah.

Je, chimbuko la ubunifu huu ni wapi na kipimo hicho huwa ni sahihi?

Asante.
Mimi shingo yangu naiamini kinoma haijawahi kuniangusha.
 
Pole na hongera ya nguvu kwa majukumu ya leo ndugu mpamabanaji na muwajibikaji.

Langu ni moja tu, nalo ni hili. Hivi mtindo wa kujipima mathalani, unanunua suruali au sketi halafu eti unapima saizi ya kiuno chako kwa kuzungushia kiuno cha ile suruali shingoni mwako ili kujiridhisha kama inakutosha ama lah.

Je, chimbuko la ubunifu huu ni wapi na kipimo hicho huwa ni sahihi?

Asante.
Ni sahihi 100%
 
Au mi ndio sijui?

Kwani kipimo cha shingo ni maalumu kwa ajili ya mashati au suruali?

Lakini pia mimi sina Kitambi.

Nina mwili uliojikata kama pingili za muwa vijana wa mjini wanaita miraba minne.
Kipimo cha shingo na kiuno ni kwa ajili ya suruali na sketi. It works for me 100%
 
Kuna siku nikawa nachagua nguo nikawa natafuta size number kwenye upindo

Mara muuzaji akawa ananiambiaa usianhalie sana hizo number huwa zinatofautiana kulingana na nchi iliyotengenezewa hiyo nguo

Chakufanya pima shingoni.

Nikamuambia nipime shingo kwani nainunua ili nikajinyongee au nikaivae?
Mhudumu was right 😄😄😄😀
 
Back
Top Bottom