HelcopterChopa
Member
- Sep 13, 2023
- 35
- 46
Ila it works, period.Hicho kipimo sijawahi kukielewa na wala sijawahi kuona connection ya shingo na kiuno ipo wapi
Maybe it works for someIla it works, period.
Punguza kitambi mkuuMaybe it works for some
Mimi nimerudisha nguo mara kibao kwa trend hiyo
😅😅Punguza kitambi mkuu
Kama mimi, sijawahi kununua ngua nikapima kiuno shingoni ikaenda kunifitHicho kipimo sijawahi kukielewa na wala sijawahi kuona connection ya shingo na kiuno ipo wapi
Kuna kiuno (wale wa zamani) walivalia kiunoni na hao ndio waliobuni hicho kipimo kuna connection kati ya shingo na kiuno.Hicho kipimo sijawahi kukielewa na wala sijawahi kuona connection ya shingo na kiuno ipo wapi
You can say that again.Kuna kiuno (wale wa zamani) walivalia kiunoni na hao ndio waliobuni hicho kipimo kuna connection kati ya shingo na kiuno.
Kuna makalio (siku hizi) wanavalia mlegezo hivyo kipimo cha shingo hudanganya, hakuna connection kati ya makalio na shinfo
So hicho kipimo hakina maana yoyote siku hizi
Umesahau vitambi. Zamani zilikuwa nadra.Kuna kiuno (wale wa zamani) walivalia kiunoni na hao ndio waliobuni hicho kipimo kuna connection kati ya shingo na kiuno.
Kuna makalio (siku hizi) wanavalia mlegezo hivyo kipimo cha shingo hudanganya, hakuna connection kati ya makalio na shinfo
So hicho kipimo hakina maana yoyote siku hizi
Hivi vitambi vya larger vilikuja kwa kasi baada ya kikwete kuwa raisUmesahau vitambi. Zamani zilikuwa nadra.
Au mi ndio sijui?Punguza kitambi mkuu
Kuna siku nikawa nachagua nguo nikawa natafuta size number kwenye upindoKama mimi, sijawahi kununua ngua nikapima kiuno shingoni ikaenda kunifit
Mimi sivalii suruali kiunoniKuna kiuno (wale wa zamani) walivalia kiunoni na hao ndio waliobuni hicho kipimo kuna connection kati ya shingo na kiuno.
Kuna makalio (siku hizi) wanavalia mlegezo hivyo kipimo cha shingo hudanganya, hakuna connection kati ya makalio na shinfo
So hicho kipimo hakina maana yoyote siku hizi
Ila unaivalia wapi?Mimi sivalii suruali kiunoni
Chini ya kiunoIla unaivalia wapi?
Wee jamaa kama tufanye collabo hivi...!Maybe it works for some
Mimi nimerudisha nguo mara kibao kwa trend hiyo