Enh akademaje?Kuna siku nikawa nachagua nguo nikawa natafuta size number kwenye upindo
Mara muuzaji akawa ananiambiaa usianhalie sana hizo number huwa zinatofautiana kulingana na nchi iliyotengenezewa hiyo nguo
Chakufanya pima shingoni.
Nikamuambia nipime shingo kwani nainunua ili nikajinyongee au nikaivae?
Kipimo ni sahihiPole na hongera ya nguvu kwa majukumu ya leo ndugu mpamabanaji na muwajibikaji.
Langu ni moja tu, nalo ni hili. Hivi mtindo wa kujipima mathalani, unanunua suruali au sketi halafu eti unapima saizi ya kiuno chako kwa kuzungushia kiuno cha ile suruali shingoni mwako ili kujiridhisha kama inakutosha ama lah.
Je, chimbuko la ubunifu huu ni wapi na kipimo hicho huwa ni sahihi?
Asante.
[emoji23][emoji23]Punguza kitambi mkuu
We usimame kwenye chorus halafu verse niachie mimiWee jamaa kama tufanye collabo hivi...!
Itakuwa u mzee wa milegezo wewe, kipimo cha shingo kwa kiuno huwezi kuendana nachoMimi sivalii suruali kiunoni
Mlegezo lazima mimi siwezi kuvalia kiunoni suruali.Itakuwa u mzee wa milegezo wewe, kipimo cha shingo kwa kiuno huwezi kuendana nacho
SawaMlegezo lazima mimi siwezi kuvalia kiunoni suruali.
Mara zote huwa ni sahihi changamoto iwe labda hipps na urefu, pia mkono wako hadi kwenye kiwiko ni kipimo cha kiuno piaPole na hongera ya nguvu kwa majukumu ya leo ndugu mpamabanaji na muwajibikaji.
Langu ni moja tu, nalo ni hili. Hivi mtindo wa kujipima mathalani, unanunua suruali au sketi halafu eti unapima saizi ya kiuno chako kwa kuzungushia kiuno cha ile suruali shingoni mwako ili kujiridhisha kama inakutosha ama lah.
Je, chimbuko la ubunifu huu ni wapi na kipimo hicho huwa ni sahihi?
Asante.
[emoji23]tumbo linawahi kula,, mara nyingi wenye marumbo ya hivyo huwa wananyambia tumbon. Hichi kipimo kinafanya kazi sahihi kwa watu wenye miili iliyo stable ,
Sasa unakuta baadhi ya watu hawaeleweki , pipa si pipa, matumbo yametangulia mbele, Yani mwili upo ovyo ovyo
Lakini unakitumiaga sio?Hicho kipimo sijawahi kukielewa na wala sijawahi kuona connection ya shingo na kiuno ipo wapi
Kuanzia begani kuja kiwiko au kiganja kuja kiwiko?Mara zote huwa ni sahihi changamoto iwe labda hipps na urefu, pia mkono wako hadi kwenye kiwiko ni kipimo cha kiuno pia
Kichwa chakoπππKuna siku nikawa nachagua nguo nikawa natafuta size number kwenye upindo
Mara muuzaji akawa ananiambiaa usianhalie sana hizo number huwa zinatofautiana kulingana na nchi iliyotengenezewa hiyo nguo
Chakufanya pima shingoni.
Nikamuambia nipime shingo kwani nainunua ili nikajinyongee au nikaivae?
Mimi shingo yangu naiamini kinoma haijawahi kuniangusha.Pole na hongera ya nguvu kwa majukumu ya leo ndugu mpamabanaji na muwajibikaji.
Langu ni moja tu, nalo ni hili. Hivi mtindo wa kujipima mathalani, unanunua suruali au sketi halafu eti unapima saizi ya kiuno chako kwa kuzungushia kiuno cha ile suruali shingoni mwako ili kujiridhisha kama inakutosha ama lah.
Je, chimbuko la ubunifu huu ni wapi na kipimo hicho huwa ni sahihi?
Asante.
Ni sahihi 100%Pole na hongera ya nguvu kwa majukumu ya leo ndugu mpamabanaji na muwajibikaji.
Langu ni moja tu, nalo ni hili. Hivi mtindo wa kujipima mathalani, unanunua suruali au sketi halafu eti unapima saizi ya kiuno chako kwa kuzungushia kiuno cha ile suruali shingoni mwako ili kujiridhisha kama inakutosha ama lah.
Je, chimbuko la ubunifu huu ni wapi na kipimo hicho huwa ni sahihi?
Asante.
Kipimo cha shingo na kiuno ni kwa ajili ya suruali na sketi. It works for me 100%Au mi ndio sijui?
Kwani kipimo cha shingo ni maalumu kwa ajili ya mashati au suruali?
Lakini pia mimi sina Kitambi.
Nina mwili uliojikata kama pingili za muwa vijana wa mjini wanaita miraba minne.
Mhudumu was right ππππKuna siku nikawa nachagua nguo nikawa natafuta size number kwenye upindo
Mara muuzaji akawa ananiambiaa usianhalie sana hizo number huwa zinatofautiana kulingana na nchi iliyotengenezewa hiyo nguo
Chakufanya pima shingoni.
Nikamuambia nipime shingo kwani nainunua ili nikajinyongee au nikaivae?
Mlegezo!!!Chini ya kiuno