Kupima UKIMWI kusikie tu

Kupima UKIMWI kusikie tu

Kuwa makini kuanzia sasa, ukimwi upo na unaua.
Siku ile nimempima nikakuta majibu yanaonyesha positive ndio nikajua kweli ukimwi upo. Nilikua nadhani ni utani ila siku ile ndio nikajua kweli ngoma ipo.

Nilipoenda hospitali asubuhi yake ili nipewe dozi nzima ya PEP(maana jana yake usiku nilipewa kidonge kimoja tu na dktari wa zamu) kwenye kitengo cha ukimwi, ile nyomi niliyoikuta pale kwenye foleni nilizidi kuchanganyikiwa.

Ndani ya muda mfupi nilikonda, mawazo ya ukimwi hayaishi kichwani, nawaza nimeharibu future yangu kizembe, niliteseka sana.

Kwa sasa nimeongeza umakini, kwanza sisimamii show, ikinilazimu kupiga mechi bila condom basi lazima niwe na mafuta ama kilainishi na napiga show kitemi.
 
Siku ile nimempima nikakuta majibu yanaonyesha positive ndio nikajua kweli ukimwi upo. Nilikua nadhani ni utani ila siku ile ndio nikajua kweli ngoma ipo.

Nilipoenda hospitali asubuhi yake ili nipewe dozi nzima ya PEP(maana jana yake usiku nilipewa kidonge kimoja tu na dktari wa zamu) kwenye kitengo cha ukimwi, ile nyomi niliyoikuta pale kwenye foleni nilizidi kuchanganyikiwa.

Ndani ya muda mfupi nilikonda, mawazo ya ukimwi hayaishi kichwani, nawaza nimeharibu future yangu kizembe, niliteseka sana.

Kwa sasa nimeongeza umakini, kwanza sisimamii show, ikinilazimu kupiga mechi bila condom basi lazima niwe na mafuta ama kilainishi na napiga show kitemi.
😅😅😅
 
Wengine acha tukae kimya tu .. Tunamshukuru Mungu anatupusha na haya maradhi, sio kwa akili zetu au ujanja wetu bali neema na huruma za Mungu hutu epusha. Kuna watu wamepata kupitia ajari, wengine wamepelekewa na wenzi wao, wengine siku aliyo jaribu na ndio akapata.. basi tu Mungu ni mwema kwenye afya yangu namshukuru kila siku kwa hili. 🥲🥲🥲
 
Siku ile nimempima nikakuta majibu yanaonyesha positive ndio nikajua kweli ukimwi upo. Nilikua nadhani ni utani ila siku ile ndio nikajua kweli ngoma ipo.

Nilipoenda hospitali asubuhi yake ili nipewe dozi nzima ya PEP(maana jana yake usiku nilipewa kidonge kimoja tu na dktari wa zamu) kwenye kitengo cha ukimwi, ile nyomi niliyoikuta pale kwenye foleni nilizidi kuchanganyikiwa.

Ndani ya muda mfupi nilikonda, mawazo ya ukimwi hayaishi kichwani, nawaza nimeharibu future yangu kizembe, niliteseka sana.

Kwa sasa nimeongeza umakini, kwanza sisimamii show, ikinilazimu kupiga mechi bila condom basi lazima niwe na mafuta ama kilainishi na napiga show kitemi.
Sema ulipewa ARV,nazo hizo ARV ambazo ndio PEP ni kiini macho tu maana kama kama ARV kazi yake kubwa ni kuvubaza virusi,sasa kama hicho kirusi kimeingia ndani ya hizo SAA 72 Kinakufaje???

Umakini pekee kutopata ngoma ni kutokufanya mapenzi kabisa,so kutopata ngoma ni game of chance inaweza mkuta yyte haijalishi how carefully you are.
 
Siku ile nimempima nikakuta majibu yanaonyesha positive ndio nikajua kweli ukimwi upo. Nilikua nadhani ni utani ila siku ile ndio nikajua kweli ngoma ipo.

Nilipoenda hospitali asubuhi yake ili nipewe dozi nzima ya PEP(maana jana yake usiku nilipewa kidonge kimoja tu na dktari wa zamu) kwenye kitengo cha ukimwi, ile nyomi niliyoikuta pale kwenye foleni nilizidi kuchanganyikiwa.

Ndani ya muda mfupi nilikonda, mawazo ya ukimwi hayaishi kichwani, nawaza nimeharibu future yangu kizembe, niliteseka sana.

Kwa sasa nimeongeza umakini, kwanza sisimamii show, ikinilazimu kupiga mechi bila condom basi lazima niwe na mafuta ama kilainishi na napiga show kitemi.
Kama majibu ni positive haiwezekani ukapewa PEP. Nyoosha maelezo
 
Aisee kupima kipaji mi nilitembea na pic kali Mara nne bila kinga nikaja sikia ameathirika sipimi kwakweli bila kuona dalili
 
Mm nikikutongoza ukaniambia eti tukapime kwanza ndio tucheze mchezo na number yako nafuta
 
Back
Top Bottom