Uchaguzi 2020 Kupita bila kupingwa kunachochea uhalifu

Uchaguzi 2020 Kupita bila kupingwa kunachochea uhalifu

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kama mtu ataamini kwamba akipora fomu au kumteka Mgombea mwenzake basi atakuwa amepita bila ya kupingwa, hiyo inajenga tabia ya kihalifu.

Wanasiasa wenye woga wa kushindana na wanasiasa hutukia njia zote za kihalifu ili waonekane wamepita bila ya kupingwa.

Hivi Katiba si inasema kuna haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Hivi vyama vya siasa vinawezaje kupora haki ya kupiga kura ya wananchi wa eneo husika??
 
Nadhani kipindi kijacho kuwe Na option ya kujaza fomu online. Na urejeshwaji usiwe siku moja angalau ziwe tatu.
Na zikiwa hacked huko mtandaoni...malalamiko yasiwepo!!!Hata hivyo, wazo lako zuri sana kama udhibiti wa kutosha wa teknolojia utakuwepo.
 
Back
Top Bottom