NGABAGILA
Senior Member
- May 8, 2020
- 115
- 119
hahaaa leo kweli ndio mnayaona hayo mapungufu, kweli safari ni ndefu na linavyoongelewa utadhani Tume ya Taifa ya Uchaguzi ndio imetunga sheria. Bahati nzuri hao walioko upinzani leo wanaopiga kelele kama wendawazimu ndio walioshiriki kutunga sheria hiyo mwaka 1992 ulipoanzishwa mfumo wa vingi vya siasa nikukumbushe tu soma vifungu hivyo kwenye attachment