JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Utakuwa huna hela wewe? Hadi cheque huelewi?Cheque
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa huna hela wewe? Hadi cheque huelewi?Cheque
Hii Ni njia ya kihisabati yenye maana ya kuzidisha kwa mkato.Me naomba nieleweshwekuhusu neno CROSS MULTIPLICATION
Najua hapo nilikuwa namfafanulia huyo asiyejua Hawala ya Fedha kwamaana nikisema Cheque huenda akaelewa.Utakuwa huna hela wewe? Hadi cheque huelewi?
CCM Ina wenyewe....au mantik yake Hadi leo.tupeane madini!
Aisee asante mkuu,sijawahi kulijua hili.SAMAWATI ni rangi ya blue!
Mbengo zafongoka.Direct to the topic...tangu tunazaliwa,makuzi yetu,shuleni,had utu uzima...lazima Kuna neno au msemo bado hujapata mantik yake Hadi leo...kupitia andiko hili hebu tuelimishane na kukumbushana midemo,nahau na maneno mbali mbali.mimi binafs Kuna maneno na misemo ambayo Hadi leo bado yananiumiza fuvu....HAWALA YA FEDHA....TIME IS MAKANGABILITE....HUDHURUNGI...SAMAWATI,nk....naimani pia Kuna watu wengine Kuna maneno na misemo bdo hawajapata maana au mantik yake Hadi leo.tupeane madini!
USUMBUFU, KEROUdhia
Jambo linalotendwa au tukioKadhia
Sea, Air, and Land = SEALSijaelewa jeshini wakisema huyu ni SEA
Niwie radhi
Mambo yako yatanyooka yataenda vizuriMbengo zafongoka.
Vijana wa dar,wanalisema Sana hilo neno
display picture?Dp???