Diamond ukiachanana tu na kuimba teyali ameshakua tasisi anaajiri watu,ana fanbase kubwa, Ni ambassador wa makampuni mengi,ana tamasha lake,amewekeza kwenye media hapo unashindana nae vip?Nani kakudanganya mkuu
Baada ya bifu Ruge akukaa saana akaanza kuugua mpaka umauti