nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Sidhani hata kama kuna maabara Kwa ajiri ya majaribio kama hayo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jambo la heri kama na sisi sasa tunaweza kutoa msaada wowote kwa mataifa yaliyoendeleaHivi unajua kuwa waliomba ubalozi wa China kuwa wanataka kupeleka madaktari China kwenda kutoa msaada?
Uko sahihi kabisa !!Wataalamu tupo tatizo ni selekali kutokutenga budget kwa ajili ya research lab ya dawa na magonjwa,
Kwa mfano mim nimesoma jinsi ya kutengebeza chanjo kwa kutumia purified virus rakin hakuna sehemu ya kuiapplay
Sent using Jamii Forums mobile app
Amebuni kulalamika lalamika nyuma ya keyboardsTofauti na malalamiko, we we ushabuni nini?. Hakuna nchi inayojitosheleza wala kujitegemea kwa kila kitu, hata Marekani na China pamoja na maendeleo yao, bado ni tegemezi kwa nchi zingine katika baadhi ya mambo.
Ndomaana Marekani pamoja na ubabe wake, hutafuta suruhu kwa Korea, Iran, China na Urusi.
Umeshakuwa MTU mzima sasa, acha malalamiko, saidia nchi yako, Mjenga nchi ni Mwananchi
Mleta mada anahoja ya msingi, sasa kama kila siku wanafanya research lakini hawajawahi kugundua dawa yoyote au ni uongo?Tofauti na malalamiko, we we ushabuni nini?. Hakuna nchi inayojitosheleza wala kujitegemea kwa kila kitu, hata Marekani na China pamoja na maendeleo yao, bado ni tegemezi kwa nchi zingine katika baadhi ya mambo.
Ndomaana Marekani pamoja na ubabe wake, hutafuta suruhu kwa Korea, Iran, China na Urusi.
Umeshakuwa MTU mzima sasa, acha malalamiko, saidia nchi yako, Mjenga nchi ni Mwananchi
Ndio maana hatuendelei, kila kitu tunachukulia kisiasa! unataka kufananisha Tanzania na hizo nchi ulizo zitaja hapo? unauliza mimi nimebuni nini! wao wamebuni nini? research Tangu uhuru! hakuna kilicho buniwa!Tofauti na malalamiko, we we ushabuni nini?. Hakuna nchi inayojitosheleza wala kujitegemea kwa kila kitu, hata Marekani na China pamoja na maendeleo yao, bado ni tegemezi kwa nchi zingine katika baadhi ya mambo.
Ndomaana Marekani pamoja na ubabe wake, hutafuta suruhu kwa Korea, Iran, China na Urusi.
Umeshakuwa MTU mzima sasa, acha malalamiko, saidia nchi yako, Mjenga nchi ni Mwananchi
Unaweza wapi bwana weweeeNi jambo la heri kama na sisi sasa tunaweza kutoa msaada wowote kwa mataifa yaliyoendelea
Afrika Mashariki combined hakuna mtu hata mmoja anayeweza kutoka kifua mbele kukiwa na kusanyiko la wanasayansi duniani labda sisi tunao wanasayansi wa kukandamiza upinzani na kujilimbikizia maliTumewekeza nguvu kubwa sana ya pesa na miundombinu kusomesha watu wetu. Tumetoa mamia ya "wanasayansi".
Mpaka muda huu sijasikia angalau mwanasayansi mmoja kutoka Tanzania akitupatia japo matumaini ya jitihada zao katika kutafuta kinga dhidi ya corona.
Wote wako kimya. Tunamsubiri mzungu.
Tanzania haijulikani mwanasayansi nani wala ngumbaru nani. Ni kama wote hatukwenda shule.
Wakemia wote hoi. Hakuna hata jitihada za kuchanganya madawa huko maabara wapate chochote cha kututia matumaini.
Hivi huwa wanashughulika na nini haswa hawa wanasayansi wetu!
Kwanza, hivi Tanzania tuna "wanasayansi" (just to begin with)?
Wana shughuli gani haswa hawa "wanasayansi" wa hii nchi?
Hata kufurukuta furukuta tu hakuna angalau tujue wanafanya kitu cha kututia moyo?
Wameshindwa japo tu kutambua kwamba klorokwini ina uwezo wa kufubaza corona?!
Nakubaliana nawe 100%Kupitia Corona Serikali za Dunia inabidi zijifunze kwamba AFYA NDIO MTAJI WA NCHI KUJIENDESHA;
Ndio, yaani inabidi huduma za afya zitolewe bure na zigaramiwe na serikali.
Serikali za dunia mpaka sasa zimeshuhudia hasara kubwa sana kutokana na janga la CORONA, kwamba watawaliwa hawafanyi kazi, mfano shule zimefungwa na mikusanyiko ya hela hakuna n.k
Hii inamaana kwamba HAKUNA UZALISHAJI HUKU SERIKALI ZIKITEGEMEA KODI.
Sasa serikali zinaingia gharama za kununua madawa kwa bajeti isiyopangwa.
Maana yangu ni kwamba Serikali za dunia kama zitagaramia huduma zote za afya haswa matibabu ya KANSA, FIGO, UPASUAJI MBALI MBALI na magonjwa yote MAKUBWA KAMA MOYO, maana yake ingetengeneza mtaji afya wa walipa kodi wengi ambao wasingepoteza muda wao kuhangaika na matibabu badala yake wanapona wanaingia mtaani.
Mfano niliwahi kuisikia taasisi 1 ya moyo inasema 'KUTIBU MOYO HUANZIA MILIONI 15- 30'
Rafiki yangu mmoja alienda India akatibiwa figo kwa milioni 36 jumlisha nauli n.k
SERIKALI ZA DUNIA HASWA ZA AFRIKA ZITOE MATIBABU BURE KWA WANANCHI WAKE, NCHI KAMA TANZANIA INAWEZA KABISA KWA KUTUMIA RASILIMALI WALIZO NAZO.
(kuna wakati nikitumia sanitaza huwa naandika point)
View attachment 1393127
Sent using Jamii Forums mobile app