Kupitia Corona Serikali za Dunia inabidi zijifunze kwamba afya ndio mtaji wa nchi kujiendesha

Sidhani hata kama kuna maabara Kwa ajiri ya majaribio kama hayo!
 
Hivi unajua kuwa waliomba ubalozi wa China kuwa wanataka kupeleka madaktari China kwenda kutoa msaada?
 
Wataalamu tupo tatizo ni selekali kutokutenga budget kwa ajili ya research lab ya dawa na magonjwa,
Kwa mfano mim nimesoma jinsi ya kutengebeza chanjo kwa kutumia purified virus rakin hakuna sehemu ya kuiapplay

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kabisa !!

Hatujawekeza vya kutosha kwenye tafiti hasa kuhusu afya.
 
Mbona kuna yule Dr. Rahabu Lubago wa Kiomboi Kisiriri pale Buguruni sheli, aligundua dawa ya vidonda vya tumbo na ikawa imeidhinishwa na wizara ya afya na TFDA itumike na mzigo ukaingia sokoni fuleshi tu.
 
Mazingira ya kufanya majaribio ya kutafuta kinga(chanjo) au tiba ya magonjwa mapya kwa Tanzania sio rafiki. Facilities na pesa Ni mtihani.

Serikali imewekeza katika kutibu tu. Miundombinu inayoboreshwa Ni kwa ajili ya kuwezesha wataalamu wa afya kutoa huduma kwa wagonjwa basi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna hospital kubwa sana hapa nchini n ya serikali nilikuwa na mueleza tatizo langu LA kiafya yule daktari kabaki anashaangaa ananiambia APA Tanzania amna matibabu yake mpaka uende ulaya,,,,tena n specialist uyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amebuni kulalamika lalamika nyuma ya keyboards

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada anahoja ya msingi, sasa kama kila siku wanafanya research lakini hawajawahi kugundua dawa yoyote au ni uongo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wanaotengeneza vipodozi,sabuni,mafuta ya ngozi,wao wanatengeneza na mzigo unaingia sokoni,vipi wao tafiti wanazifanyia wapi? au kwakua uhai wa binadamu ni tofauti na vipodozi,sabuni na mafuta ambavyo yana pakwa juu ya ngozi pekee
 
Readiness to calamities is very relative in the world leave along the claimed first world countries
 
Ndio maana hatuendelei, kila kitu tunachukulia kisiasa! unataka kufananisha Tanzania na hizo nchi ulizo zitaja hapo? unauliza mimi nimebuni nini! wao wamebuni nini? research Tangu uhuru! hakuna kilicho buniwa!
 
Afrika Mashariki combined hakuna mtu hata mmoja anayeweza kutoka kifua mbele kukiwa na kusanyiko la wanasayansi duniani labda sisi tunao wanasayansi wa kukandamiza upinzani na kujilimbikizia mali

Wengi ni bookish tu
 
Niliwahi kuandika hapa, nchi pekee ya kiafrika/weusi yenye wanasayansi ni Nigeria labda na ghana na South Africa.Wengine tumesomea sayansi tu.Likija suala la tafiti hutia visingizio Vingi sana na kuilaumu serikali.

Serikali ta sasa hivi in PhD ya sayansi lakini hakuna cha maana kilichobadirika.
Project za wahitimu mqaka was 3 sayansi hupewa 150000 sijui kama imeongezeka.Sasa ni ugunduzi gani uraufanya kwa lKi na nusu.

Watanzania hawana muda wa kuboresha maabara ziwe za kisasa wanadai ni jukumu la serikali.Kila Kaya ina shule lakini kutest udongo wa shamba la mkulima mpaka upelekwe taasisi za utafiti(huu ni utani!!).
 
Nakubaliana nawe 100%
Bora wastuke sasa hasa hapa kwetu tz ambako unamdai mtu hata kama amepona na ni maskini ati anazuiwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa ni kwamba kiongozi yeyote wa kiafrika akiugua kidogo tu, ataondoka na kundi kubwa la wasaidizi kwenda nchi za ulaya kutibiwa. Walisafiri kwa anasa, waliishi kwa anasa na kutumia gharama kubwa kutibiwa.

Inashangaza, ghafla baada ya kuzuka kwa Korona, wote wamepona na kutulia nchini. Licha ya yote, hakuna ncho yoyote inayoweza kupokea mgonjwa wa korona toka nchi za kiafrika. Kwa maana hiyo dawa iliyobakia, ni hawa viongozi kutumia zile fedha za safari na anasa katika kuboresha huduma za afya mapema, vinginevyo watapukutika kama panya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…