Uchaguzi 2020 Kupitia kauli hizi kuna uhuru kwenye uchaguzi wa mwaka huu?

Uchaguzi 2020 Kupitia kauli hizi kuna uhuru kwenye uchaguzi wa mwaka huu?

Noel france

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
1,104
Reaction score
917
Binafsi nakosa imani kabisa,ukijimlisha na kauli zinazotoka vinywani mwa taasisi muhimu kama vile jeshi letu la polisi( IGP Siro) nk.

Naomba kushare na nyinyi ka crip kadogo kisha mseme wenyewe,uchaguzi huu utakuwa huru na haki kweli.


 
Maneno ya Lissu huu ndio wakati wake,kwamba akiibiwa ushindi ataingiza watu barabarani kudai haki yake.
Bila kudai Hali yake kwa nguvu hawezi kupewa Hali yake kistaarabu.
Hawa akina Bashiru ndio wataiingiza nchi machafukoni.
 
Back
Top Bottom