Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
- Thread starter
- #241
Mkuu hii ni software gani au application gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii ni software gani au application gani?
Ingia kwenye tovuti ya UTT kuna hizo calculator mbili, ipo hiyo inaitwa single na monthlyMkuu hii ni software gani au application gani?
Mkuu umetisha hasaMzee baba umetisha sana..kwa muda wako dondosha andiko huku tuongeze maarifa
Gawio shingap?Bila shaka hiyo ni kwenye bond fund ambayo unakuwa umeweka 5m, wanasema ukiweka 10m unapata gawio kila mwezi.
Kwani nyumba kujenga bei gani?Samahani .hizo ni biashara kichaa
Inafanana na fixed account
Mara 100 hata ukajenga lodge au nyumba za kupanga
Passive investment ndio kitu gani mkuu nipe somoNafikiri mleta mada is more interested with passive investment na wadau wanampa elimu ya active investments tena wengine aggressive investments ambayo inataka dedication, maarifa na risk taking! Anyway ni nzuri kwa watu wengine wanaotaka maarifa japo ni nje ya lengo lake
Mkuu nakushauri weka UTT unauhakika wa laki 300k+ tofauti na nyumba ya kupangisha kwa hela hiyo unaweza hata usimalize hiyo nyumba.Utt ukiweka 35mil kwa mwezi napata kiasi gani?
Au nikajenge nyumba ya kupangisha?
Nawekaje hela humo utt?Mkuu nakushauri weka UTT unauhakika wa laki 300k+ tofauti na nyumba ya kupangisha kwa hela hiyo unaweza hata usimalize hiyo nyumba.
Inabidi ujisajili kupitia website yao then utajaza fomu halafu utai scan nakuwatumia kwa email. Kuanzia hapo unaanza kuweka helaNawekaje hela humo utt?
Una transfer kutoka kwa account zako kwenda kwenye accout yao?Inabidi ujisajili kupitia website yao then utajaza fomu halafu utai scan nakuwatumia kwa email. Kuanzia hapo unaanza kuweka hela
Ndio inawezekanaUna transfer kutoka kwa account zako kwenda kwenye accout yao?
Unaweza kueleza hiyo bond fund inapatikana wapi? Inaongezeka kwa vipi?Ukiwa na Bond Fund
Mtaji 200M
Kwa mwezi utapata hio 2M bila shida kabisaaa tena itakuwa inaenda inaongezeka
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Kwa hesabu za haraka haraka ni miezi 100 ndio utaanza kula profit.
Ni miaka Nane na ushee hivi...tuseme umepata mkopo kutoka CRDB rate 13%
Utabidi uwalipe CRDB 2,260,000 Kwa mwezi ili ku pay off kwa miaka nane.
Roughly utakuwa unalipia laki tatu kwa mwezi--lakini matunda yako utayala baada ya miaka 8.
Bora ku-invest kwenye asset tangible kama viwanja---kwa mtaji huo.
Kila la kheri.
Habari za wakati huu wapambanaji na msio wapambanaji. Naomba mwenye uelewa zaidi anisaidie katika hili hasa kupitia hii mifuko ya uwekezaji wa pamoja.
Ni kupitia mfuko gani wa UTT nitaweza kupata shilingi milioni 2 kila mwezi na kwa mtaji kiasi gani. Pia niliwahi kusikia unaweza kukopa bank kwa kupitia malipo haya ya kila mwezi.
Msaada wapambanaji
Nunua hisa za CRDB utakuja kunishukuruUtt ukiweka 35mil kwa mwezi napata kiasi gani?
Au nikajenge nyumba ya kupangisha?
NanunuajeNunua hisa za CRDB utakuja kunishukuru
Tafuta broker kwenye soko la hisa.. utanunua kwakeNanunuaje