Mapondo Mapoka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 269
- 121
Naombeni msaada kwa wajuzi na wazoefu.
Mke wangu kapitiliza muda wa makadirio ya kujifungua wiki 40 kwa mujibu wa ultrasound.
Toka wiki iliopita mpaka sasa anapata dalili kama uchungu lakini unakata, au akienda zoezi la kutembea akikaa tu hali kama ya uchungu humjia na kutoweka. Sasa ni takriban siku 8 ambazo zimepitiliza wiki iliopita tulienda hospitali na alifanyiwa ultrasound na hakuna dalili yoyote mbaya ilioonekana majibu yalikuwa mazuri.
Kwenu wajuzi, hali hii ya dalili kama uchungu unaokaa muda mfupi na kutoweka inaashiria nini?
Naombeni msaada kwani mke wangu anamawazo mengi sana juu ya hili kiasi cha kunipa hofu kidogo na mimi.
Karibuni wadau.
Mke wangu kapitiliza muda wa makadirio ya kujifungua wiki 40 kwa mujibu wa ultrasound.
Toka wiki iliopita mpaka sasa anapata dalili kama uchungu lakini unakata, au akienda zoezi la kutembea akikaa tu hali kama ya uchungu humjia na kutoweka. Sasa ni takriban siku 8 ambazo zimepitiliza wiki iliopita tulienda hospitali na alifanyiwa ultrasound na hakuna dalili yoyote mbaya ilioonekana majibu yalikuwa mazuri.
Kwenu wajuzi, hali hii ya dalili kama uchungu unaokaa muda mfupi na kutoweka inaashiria nini?
Naombeni msaada kwani mke wangu anamawazo mengi sana juu ya hili kiasi cha kunipa hofu kidogo na mimi.
Karibuni wadau.