M Mtoto Tajiri JF-Expert Member Joined Sep 29, 2014 Posts 300 Reaction score 173 Nov 28, 2014 #1 Habari wana jamii forum,Ni hv mfano mm naagiza gari kutoka Japan then nataka nishushie Dar es salaam halafu nisajilie malawi yaani bongo zipite kama IT,je kuna gharama ambazo nitatakiwa nilipie Tanzania? na gharama hizo ni bei gani?
Habari wana jamii forum,Ni hv mfano mm naagiza gari kutoka Japan then nataka nishushie Dar es salaam halafu nisajilie malawi yaani bongo zipite kama IT,je kuna gharama ambazo nitatakiwa nilipie Tanzania? na gharama hizo ni bei gani?