Kupitisha gari yenye IT Bongo

Mtoto Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2014
Posts
300
Reaction score
173
Habari wana jamii forum,Ni hv mfano mm naagiza gari kutoka Japan then nataka nishushie Dar es salaam halafu nisajilie malawi yaani bongo zipite kama IT,je kuna gharama ambazo nitatakiwa nilipie Tanzania? na gharama hizo ni bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…