Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nazidi kutishika!Unajichelewesha tu me naona. mbona utaolewa ukishakuwa, na mikuyenge utapigika nayo vizuri sana.
Na akikuchoka atatafuta mchepuko. Work hard.
Haha eeh Pole ee unahitaji kukuzwa kidogo heheYaani nazidi kutishika!
[emoji17] [emoji17]
Mungu asaidie nipate wa hivyo!Ama kweli, kuna waamini fulani akili zao ziko kwenye kufanya mapenzi, na waamini wengine akili zao zinawaza kutafuta pesa tu, hilo tendo la ndoa sio kipaumbele chao
Hahafundishe uoga mwambie unapata dhambi kwa mungu utachomwa motoMungu asaidie nipate wa hivyo!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ndo inavuotakiwa mkuu hongeraKuna watu huwa wanapitisha siku nne kwani...Mimi the best i can wait ni siku mbili
unaogopa....?Jamani
Hapana.unaogopa....?
Tuwakilishe tu mkuuNgoja waje
Kwahiyo cku 10 hufanyi?Ohooo mie natumia calendar yani ninahesabu siku 10 kuwa ni dangerous days
Hamchoki mnazoea yani fresh kabisaNdo maana naogopa kuolewa kutokana na hiyo michezo,
Mhh ko kila siku jamani si mnachokana duuh!!