Barakaeli174
Senior Member
- Aug 2, 2015
- 171
- 142
mlienda hospital
Naomba msaada kuna mtoto amepofuka ghafla umri wake ni miaka 18 ilitokea ghafla jicho moja likaanza kupoteza sight hadi leo hii haoni na lingine limeanza mchezo huo.
Naomba kufahamu tatizo ni nini hana ugonjwa wowote wala maradhi ambayo tutasema huenda imesababisha maana kichwa kilikuwa kinauma tu na ndio tatizo likaendelea hivyo.
Naomba msaada.
Kuna ugonjwa umeingia mjini unaitwa Maradhi ya Presha ya macho ni hatari unaweza kupofuka macho. Akihitaji dawa huyo mtoto ya kuweza kuona macho yake anitafute mimi kwa kubonyeza hapa.MawasilianoNaomba msaada kuna mtoto amepofuka ghafla umri wake ni miaka 18 ilitokea ghafla jicho moja likaanza kupoteza sight hadi leo hii haoni na lingine limeanza mchezo huo.
Naomba kufahamu tatizo ni nini hana ugonjwa wowote wala maradhi ambayo tutasema huenda imesababisha maana kichwa kilikuwa kinauma tu na ndio tatizo likaendelea hivyo.
Naomba msaada.
Kuna ugonjwa umeingia mjini unaitwa Maradhi ya Presha ya macho ni hatari unaweza kupofuka macho. Akihitaji dawa huyo mtoto ya kuweza kuona macho yake anitafute mimi kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
Na mauchawi nayo yapo msibeze. Nguvu za giza zipo toka zamani na zimeandikwa hata kwenye bible, najua mtanibishia....... ukiona hospitali hawaoni kitu stuka! Mpeleke akaombewe.