Evvy jr
Senior Member
- Apr 23, 2017
- 148
- 189
Habari zenu wana jamvi,
Naomba kufaham kwa mwenye uelewa kuhusu wire transfer. Huchukua siku ngapi kwa pesa iliyotumwa kutoka nje ya nchi kwa njia ya wire transfer kukufikia kwenye account yako ya bank hapa nyumbani?
Kuna mtu niliekua namtumia mzigo mara kwa mara nje lkn pesa ilikua ikitumwa inaingia moja kwa moja kwenye simu (airtel money) wakati huohuo, lakn safari hii kachukua mzigo ambao ni mkubwa kidogo hivo pesa imeongezeka na ikashindikanaa kutuma kwa sim ikabid atumie njia ya bank (wire transfer) na leo ni siku ya tatu sijapata sms ya bank kuonyesha pesa imeingia.
Siku zote huwa mpaka pesa iingie ndio namtumia mzigo, so mpaka sasa mzigo sijatuma nikisubiria hiyo pesa, kinachonipa wasiwasi mzigo ukikaa mda mrefu unapoteza ubora wake na siwezi kutuma bila kuona hiyo pesa.
Naomba kufaham kwa mwenye uelewa kuhusu wire transfer. Huchukua siku ngapi kwa pesa iliyotumwa kutoka nje ya nchi kwa njia ya wire transfer kukufikia kwenye account yako ya bank hapa nyumbani?
Kuna mtu niliekua namtumia mzigo mara kwa mara nje lkn pesa ilikua ikitumwa inaingia moja kwa moja kwenye simu (airtel money) wakati huohuo, lakn safari hii kachukua mzigo ambao ni mkubwa kidogo hivo pesa imeongezeka na ikashindikanaa kutuma kwa sim ikabid atumie njia ya bank (wire transfer) na leo ni siku ya tatu sijapata sms ya bank kuonyesha pesa imeingia.
Siku zote huwa mpaka pesa iingie ndio namtumia mzigo, so mpaka sasa mzigo sijatuma nikisubiria hiyo pesa, kinachonipa wasiwasi mzigo ukikaa mda mrefu unapoteza ubora wake na siwezi kutuma bila kuona hiyo pesa.