Hizo ni minimum requirements, sasa jiulize wewe una 3.5 gpa alafu kuna mwingine ana 4 gpa! Je utachukuliwa wewe au mwenye 4.0 gpa?Najua unahitaji kuwa na GPA y 3.5 kupata sifa ya kujiunga na MD by TCU standards! Katika daily practice, kuna mwombaji aliyepokelewa MUHAS with this qualification? Nisaidieni information please
Vyuo vingine vya medicine wanawapokea na wanamaliza vema tu with flying colours.
sitaki matusi nitakurudishia halafu nifungiwe. Kuwa na heshima mimi ni baba yako!Mzee mzima umeandika kama mtu anayekimbia tozo
Muhas bila 4.4+ huchukuliwi ni chuo cha vipanga, aka soecial university hawataki vilazaNajua unahitaji kuwa na GPA y 3.5 kupata sifa ya kujiunga na MD by TCU standards! Katika daily practice, kuna mwombaji aliyepokelewa MUHAS with this qualification? Nisaidieni information please.
Vyuo vingine vya medicine wanawapokea na wanamaliza vema tu with flying colours.
Mimi ni babu yakositaki matusi nitakurudishia halafu nifungiwe. Kuwa na heshima mimi ni baba yako!
Hapa MD wanakuchukua Ukiwa na Kwanzia 4.5Najua unahitaji kuwa na GPA y 3.5 kupata sifa ya kujiunga na MD by TCU standards! Katika daily practice, kuna mwombaji aliyepokelewa MUHAS with this qualification? Nisaidieni information please.
Vyuo vingine vya medicine wanawapokea na wanamaliza vema tu with flying colours.
Kwa GPA ya 4.5 diploma wanataka mtu asiye na A level ya PCB asiingie pale, deliberately done to exclude them!Hapa MD wanakuchukua Ukiwa na Kwanzia 4.5
asanteHapa MD wanakuchukua Ukiwa na Kwanzia 4.5
Mbona ndogo hivyoKwa GPA ya 4.5 diploma wanataka mtu asiye na A level ya PCB asiingie pale, deliberately done to exclude them!
Mbona ndogo hivyo??[emoji53]Hapa MD wanakuchukua Ukiwa na Kwanzia 4.5
For real?? Vipanga wanaoingia na first class ya 4.4??Muhas bila 4.4+ huchukuliwi ni chuo cha vipanga, aka soecial university hawataki vilaza
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
I guess you have never seen the inside of a renowned university class. Otherwise, you will never say that!Mbona ndogo hivyo
Tena wanachukua only 20 tuKwa GPA ya 4.5 diploma wanataka mtu asiye na A level ya PCB asiingie pale, deliberately done to exclude them!
Si haba, kwani full capacity ya MD ni ngapi?Tena wanachukua only 20 tu
Huyo wa kwanza kumchukuaHatari bwana mdogo hapa ana 5.0 kutokA diploma ya lab ngoja nione kama MUHAS watamnyakua
Afadhali maana wengine wamemwambia kama connection hatoboiHuyo wa kwanza kumchukua
Hivi unategemea form four with three Ds akawe MD? Kwa sasa clinical medicine wanaingia wale ambao wakekosa qualifications za kujiunga MD baada ya kumaliza PCBKwa GPA ya 4.5 diploma wanataka mtu asiye na A level ya PCB asiingie pale, deliberately done to exclude them!
Connection mpaka Gpa ikiwa chini ila kwa 5.0 watamchukua kikubwa tu baada ya kutangazwa uje utupe mrejeshoAfadhali maana wengine wamemwambia kama connection hatoboi