Hivi unategemea form four with three Ds akawe MD? Kwa sasa clinical medicine wanaingia wale ambao wakekosa qualifications za kujiunga MD baada ya kumaliza PCB
πππππ damn! Mtu hunijui bado unanikadiria ??? Nimesema ndogo kwa sababu.
Moja wapo ikiwa nimemaliza na unweighted gpa ya 4.0 from one of the renowned university abroad ambayo ni equivalent ya 5.0 kwa vyuo vyenu hivi.
Sasa kwa aliyepata 4.4 si ni sawa na 3.52 gpa unweighted ,ni ndogo bado maana minimum requirement ya chuo nilichosomea ni lazima uwe na unweighted gpa ya 3.6 as entry qualification au uwe na sat point ya 1350/1600