Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Mtu atakae taka nimtibie ndio ninaye mpa ushahidi kuwa nimemtibia nani na hata namba ya simu ya huyo niliye mtibia nitampa sio kila mtu nimpe namba ya huyo niliye mtibia. Amesha choka kupigiwa simu alikuwa anapigiwa simu kwa siku zaidi ya mara 50 ameshaniambia amechoka na simu nyingi na maswali kibao kuhusu kupona kwake mgonjwa wangu wa Maradhi ya Ukimwi.Wewe mzizimkavu funguka,siyo kutoa mawasiliano tu,evidence ni sahihi zaidi hata kama MTU anakutafuta ni uhakika.
Nina wagonjwa wengine 2 nina watibia mmoja yupo hapo mjini Dar na mwengine yupo mjini Arusha na hali zao zinakwenda vizuri sana.Toka mwaka Jana mtu kapona. Vipi wengine hawajaja huko semunge? Acha uongo wewe hakuna mtoto humu.
Ufanisi MTU anajifunzia kazini,ila hawa wenye fake vyeti wengi wao ni maboss na huwa hawapendi vijina tujifunze kazini ili tuwe tunaufanisi,mfano akisikia semina,workshop training,n.k zenye kutoa mafunzi kazini,boss ataenda wakati yeye alishapata mafunzo mengi km hayo mpaka amekuwa boss hii ni hatari sana ndo maana akifika mda wake wakustaafu anaacha ofisi hakuna mwenye uzoefu kwa maana mafunzo kazini hawajapata.Cheti na ufanisi vyote ni muhimu.Bila knowledge kuhusu kile unachokifanya utakifanyaje.Nadhani hii haina mjadala.Ni mjinga tu anayedhani unaweza kuimudi kazi bila kuwa na ufahamu stahiki.Knowledge kwanza halafu experience.Lazima ujue the fine details.
Mtu atakae taka nimtibie ndio ninaye mpa ushahidi kuwa nimemtibia nani na hata namba ya simu ya huyo niliye mtibia nitampa sio kila mtu nimpe namba ya huyo niliye mtibia. Amesha choka kupigiwa simu alikuwa anapigiwa simu kwa siku zaidi ya mara 50 ameshaniambia amechoka na simu nyingi na maswali kibao kuhusu kupona kwake mgonjwa wangu wa Maradhi ya Ukimwi.
''THE PHARMACEUTICAL INDUSTRY DOES NOT CREATE CURES THEY CREATE CUSTOMERS''Utafitiii....uleeee..tusubiri
mkuu kubaliana na hali yako,hiko kiasi ulichobakia nacho kikusaidie kuishi kwa matumaini,UKIMWI hauna dawa,utatapeliwa bure upate msongo mkali wa mawazo ufe kabla ya siku zako,ridhika tu na matokeo ya matendo yako ya nyuma!Habarini wana jamvi. inasadikika kuna watu wanatibu HIV kwa utaratibu wa tiba mbadala lkn zipo pia tetesi kuwa kuna dawa za kifamasia kabisa japo hazikutengenezwa kwankusudi hilo kuna watundu wamejaribu ikaonekana zinasaidia kabisa. Je kuna mtu akiyewahipona ukimwi unamjua?
Kuna mwanajf humu anatoa tiba ila kwa masharti haya:1. Usiamini kama kuna ugonjwa unaitwa UKIMWImkuu kubaliana na hali yako,hiko kiasi ulichobakia nacho kikusaidie kuishi kwa matumaini,UKIMWI hauna dawa,utatapeliwa bure upate msongo mkali wa mawazo ufe kabla ya siku zako,ridhika tu na matokeo ya matendo yako ya nyuma!
Dawa ya upungufu wa kinga mwilini ni lishe sawia basi [emoji4] kama huamini tibia ugonjwa husika then lishe ya nguvu...ondoa stress kuwa nina ngoma hivyo Mimi ni marehemu mtarajiwa...sema walahi hafi Mtu..utakuja utasema tawire [emoji4]
Mkuu nafanya research mm sina wadudu washamkuu kubaliana na hali yako,hiko kiasi ulichobakia nacho kikusaidie kuishi kwa matumaini,UKIMWI hauna dawa,utatapeliwa bure upate msongo mkali wa mawazo ufe kabla ya siku zako,ridhika tu na matokeo ya matendo yako ya nyuma!
Yap, Deception njoo huku
Ikimwi wenyewe upo, in the first place?Hakuna Dawa ya Ukimwi
Labda utusaidie unaposema kupona HIV una maana gani? Maana kiataalamu iko hv mtu akitumia dawa muda mrefu kinga inaimarika magonjwa nyemelezi yanaondoka na dawa zikimkubali hata viral load inakuwa chini kiasi zile antibodies zinazotakiwa kwa kipimo kusoma Reactive zinakwisha ukipima unakuwa Negative lkn hii haikuhakikishii kwamba umepona unaweza ukapumzika dawa kwa muda then wadudu wanazaliana tena na usipokuwa makini unakufa fasta utaalamu unasema ukishakuwa Seroconverted utabaki hivyo for rest of your life.Jamani nimeuliza bse nimeshapata tetesi pande zote. Dawa za kifamasia na hizi mbadala. Na nimethibitishiwa kuna waliopona. Jaribuni na nyie kuulizia au kufanya kautafiti kadogo
Kwanini msizipeleke Mahospitalini hizo dawa? Watu wakazifanyia research na kutengeneza zilizo bora kwani unadhani dawa za wazungu source yake ni nini nyingi zinatokana na mitishamba tuache kulaumu km tunajiamini tuishikishe serikali.Mkuu Muache huyo ana Fikra za kizamani hizo hakuna Maradhi yasiyokuwa na dawa yake. Hakuna Dawa ya Ukimwi Ma-Hospitalini lakini kwa dawa za Asili dawa zipo kutibu Ukimwi na watu wanapona.
Nkisha zipeleka Hospitali wakisha kugunduwa Source ya dawa zangu mimi nitapata faida gani?Dawa zangu hizo hapo na zinatibu Ukimwi.Kwanini msizipeleke Mahospitalini hizo dawa? Watu wakazifanyia research na kutengeneza zilizo bora kwani unadhani dawa za wazungu source yake ni nini nyingi zinatokana na mitishamba tuache kulaumu km tunajiamini tuishikishe serikali.