richaabra
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 1,472
- 3,511
Kaka usilitaje jina la yesu kimzaha mzaha,,wakati umetoka kumuita mtu shoga hapo juuNa wewe unanitukana? Ninakuapia kwa jina la Bwana Yesu Kristo mdomo wako utaangamia ulaniwe mdomo wako kwa kunitukana mimi na watu waseme amin.
Wewe ndio unatukana...tapeli sio tusi
Kwanini uwaongopee watu unautibu ukimwi 100%
Mashuhuda waliopona kwa dawa zako wapo wapi?
Umesomea udoctor wapi?
Ulifanya tafiti zako wapi?
Na kama una dawa inaponyesha kabisa kwanini usitoke hadharani utangaze ili wanaotaabika wapone?
Kwa nini unahangaika watu waje pm na kwenye email tu?
Wewe sio tapeli wewe???