Mkuu diesel na petrol tofauti.Hiyo gari itakuwa na shida. Watu tunatumia 1HZ 6 cylinder 4200cc kwa mwendo wa kawaida tunapata 7KM per litre.
Sahihi.Mkuu diesel na petrol tofauti.
Mkuu V6 petrol Toyota Kwa 13km/l sio kamba kweli?pia Crown ina offer vitu vingi zaidi ya brevis
Gari yenyew ishakuwa discontinued na manufacturers
Ukifatilia Vizuri soko la used crown limepanda sana
Hasa baada ya kupandishiwa ushuru
Kuagiza sahivi andaa 17-20 GRS180
Mkononi iliyonyooka kuanzia 10-14
Crown pia ina eco-mode ambayo ina consumptions nzuri ya mafuta kwa sisi tunaendesha vizuri tunapata 13km/L
Gari kwenye picha ni za 2004, Kodi umeweka mwaka 2007Bila shaka Ngoja nikupe hii
Kuitoa japan mpk bongo C&F $4000-5000
(Ambapo kwa rate ya leo ni 9.4m-11.8)
Hapo nimeangalia the cheapest Crown Athlete with at least less than 150k mileage
Ushuru+Registration kwa GRS 180 kwa sasa ni 8.6m
So kwa haraka +clearance hapo jumla appr 17m-20m
View attachment 2507434
View attachment 2507435
IST inapendwa Sana na Hawa vijana wanaofanya Uber, bolt,paisha,indrive nkSi vema kupost magari ya watu humu ila unakuta Brevis namba DL.. inasoma 7.5M na Brevis namba DF... inasoma 7M kitu ambacho ni ngumu kukuta IST ya namba hizo ikiuzwa kwa bei hiyo
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Naomba namba mkuuKuna jamaa yangu yuko kinondoni analiuza 3M cash namba DH , jana kapewa 2.9 kakataa kama unalitaka sema
Watu wanapenda kitonga.. Brevis ni mnyama ni gari ya kazi kama una mkono wa birika ni ngumu kuimilikiWakuu habari za wakati huu?
Ningependa kufahamu hizi gari zimekumbwa na shida gani mpaka watu kuanza kuziuza kwa kasi sana tena kwa bei kutupa kwa gari kali na yenye hadhi kama hii.
Imefikia hatua gari hizi huuzwa hadi kufikia nusu ya bei ya IST used hapa bongo, yaani imekuwa bei ya Brevis mbili za mkononi ni sawa sawa na IST moja iliyotumika hapa Bongo.
Karibuni kwa maoni yenu
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa anafurahisha
Ununue V8 afu uanze lia mafuta?Mnaogopa brevis yaomesha wote vipato vinachechemea. Na wanao kokota mi v8 na mafungu jeshi mengine wasemeje?
NB mimi sina hata vitz old model. Kwahiyo tusiulizane
Anakuaga na gari mbovu mbovu ila zinampa umaarufu kimtandaoHuyu jamaa anafurahisha
Kama wamkoani sawa.....waulize wamiliki wa hizogar wanavyopata tabu kupata wateja....madalali wanaongea maneno yote na bado kupata mteja ni ishu, kuna mzee alikuwa nayo DB alikosa mteja hapa Dar madalali wakamletea mteja katoka mkoani akaichukua kwa 5 na ilikua kali...sijajua kwann watu wa mkoani wanazielewa sana...sijui ni kwasababu ya bei kuwa chin maana mapya hawayanunui.Nlimaanisha izo used, kuna watu wanazichukua hivyo hivyo na changamoto zake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio inafika. Ila iwe nzima sana with no fault. Sio hizi za M4 sijui 5.
π€π€π€Kuna jamaa yangu yuko kinondoni analiuza 3M cash namba DH , jana kapewa 2.9 kakataa kama unalitaka sema
Changamkia fursa hyoNgoja nianze kuzikusanya kuna mahali ntazipeleka kuziuza kwa bei ya mara 2 au 3 time will tell soon
Cc2500 angalau ingekua engine ya diesel sawaEngine kubwa. Wengi wanaogopa cc2500 au cc3000 especially watu wa misele.
Ni kweli kabisa wala sio kamba, ndio maana kasema kwa mweneshaji mzuri, kama huzingatii rpm...13km/l utaisikia kwenye bomba.Mkuu V6 petrol Toyota Kwa 13km/l sio kamba kweli?
Ni kweli pia na maintainance yake ni nafuu sana na ni vumilivu sanaIST inapendwa Sana na Hawa vijana wanaofanya Uber, bolt,paisha,indrive nk
Nadhadi kwakuwa ulaji wake wa mafuta mdogo ndio maaana