Kuporomoka kwa Bei ya Brevis

Kuporomoka kwa Bei ya Brevis

pia Crown ina offer vitu vingi zaidi ya brevis

Gari yenyew ishakuwa discontinued na manufacturers

Ukifatilia Vizuri soko la used crown limepanda sana
Hasa baada ya kupandishiwa ushuru

Kuagiza sahivi andaa 17-20 GRS180

Mkononi iliyonyooka kuanzia 10-14

Crown pia ina eco-mode ambayo ina consumptions nzuri ya mafuta kwa sisi tunaendesha vizuri tunapata 13km/L
Mkuu V6 petrol Toyota Kwa 13km/l sio kamba kweli?
 
Bila shaka Ngoja nikupe hii


Kuitoa japan mpk bongo C&F $4000-5000
(Ambapo kwa rate ya leo ni 9.4m-11.8)

Hapo nimeangalia the cheapest Crown Athlete with at least less than 150k mileage

Ushuru+Registration kwa GRS 180 kwa sasa ni 8.6m

So kwa haraka +clearance hapo jumla appr 17m-20m

View attachment 2507434
View attachment 2507435
Gari kwenye picha ni za 2004, Kodi umeweka mwaka 2007
 
Si vema kupost magari ya watu humu ila unakuta Brevis namba DL.. inasoma 7.5M na Brevis namba DF... inasoma 7M kitu ambacho ni ngumu kukuta IST ya namba hizo ikiuzwa kwa bei hiyo

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
IST inapendwa Sana na Hawa vijana wanaofanya Uber, bolt,paisha,indrive nk
Nadhadi kwakuwa ulaji wake wa mafuta mdogo ndio maaana
 
Zinakula wese ni hatar, kuna mdau kapark ndani ananipigia kila day chukua hiyo gari endesha tu hapo mjini utambie

Namwambia hapana hii gari ni chuma ulete inakausha damu hatar

Mana nikiwa naye katika misere mara kaweka wese la 60k mara kaongeza 30k

Najisemea hiiiiiii, bora nipande daladala mia tano kuliko kukikausha damu kiasi hiki.
 
Wakuu habari za wakati huu?

Ningependa kufahamu hizi gari zimekumbwa na shida gani mpaka watu kuanza kuziuza kwa kasi sana tena kwa bei kutupa kwa gari kali na yenye hadhi kama hii.

Imefikia hatua gari hizi huuzwa hadi kufikia nusu ya bei ya IST used hapa bongo, yaani imekuwa bei ya Brevis mbili za mkononi ni sawa sawa na IST moja iliyotumika hapa Bongo.

Karibuni kwa maoni yenu

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Watu wanapenda kitonga.. Brevis ni mnyama ni gari ya kazi kama una mkono wa birika ni ngumu kuimiliki

Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
 
Nlimaanisha izo used, kuna watu wanazichukua hivyo hivyo na changamoto zake
Kama wamkoani sawa.....waulize wamiliki wa hizogar wanavyopata tabu kupata wateja....madalali wanaongea maneno yote na bado kupata mteja ni ishu, kuna mzee alikuwa nayo DB alikosa mteja hapa Dar madalali wakamletea mteja katoka mkoani akaichukua kwa 5 na ilikua kali...sijajua kwann watu wa mkoani wanazielewa sana...sijui ni kwasababu ya bei kuwa chin maana mapya hawayanunui.

Kuna mshikaji wangu alikuwa na Crown athlete namba DL alipata nayo ajali upande wa mbele akaamua kuisukuma kwa 7....nakubuka walengaji kidogo wazichape maana kila mtu anaitaka.
 
Back
Top Bottom