Kuporomoka kwa Bei ya Brevis


Asante umemweleza vizuri…usiforce gari kuchange gear
Kuna mtu uendeshaji wake hata IST haimpi 15km

Ni kweli crown engine kubwa lkn ina teknolojia nzuri

Piaa mwambie jamaa afatilie kuna gari inaitwa mazda cx-5 diesel 2200cc huko atapata mpk 18km/L sawa na passo yenye piston 3 na wala gari sio hybrid
 
Si vema kupost magari ya watu humu ila unakuta Brevis namba DL.. inasoma 7.5M na Brevis namba DF... inasoma 7M kitu ambacho ni ngumu kukuta IST ya namba hizo ikiuzwa kwa bei hiyo

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Hizo bei ni kubwa sana.

Kwa uhalali Brevis inapaswa iuzwe 2,000,000 au pungufu ya hapo
 

Diesel cc2200 city driving iko sawa 18km/l, ila v6 non hybrid upate 13km/l, hii bado sijakubali, naomba evidence
 
Huu ni uongo Mkubwa, Crown ikupe 13Km/L?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu highway unamaanisha ukitoka Dar-Moro au Kimara-Posta? Stop and Go traffic sidhani kama kuna V6 itakuacha salama. Kama kuna mwenye crown naomba picha ya 13km/l ikiwa kwenye foleni au hata 9km/l
Kuna watu sjui huwa wanatokea wapi na uongo wa namna hii, Yaani Mark X ikupe 17Km/L IST si itakupa 40km/L

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu highway unamaanisha ukitoka Dar-Moro au Kimara-Posta? Stop and Go traffic sidhani kama kuna V6 itakuacha salama. Kama kuna mwenye crown naomba picha ya 13km/l ikiwa kwenye foleni au hata 9km/l
Mkuu Kuna city and highway.
Highway kibongo bongo ni safari za mkoa, City driving in humu humu mjini kama posta tu mwenge
 
Unakua huna tofaut na anaetumia ist kwenye wese
 
Ukijua Brevis inatumia engine gani na una uwelewa wa engines itakusaidia sana kufanya maamuzi ya kununua au kutonunua.

Wengi wetu uwelewa wa engine za magari haupo tunanunua magari kwa fashion tu.
 
Mkuu Kuna city and highway.
Highway kibongo bongo ni safari za mkoa, City driving in humu humu mjini kama posta tu mwenge
Asilimia kubwa ya matumizi ya crown ni city driving, naomba consumption yake. Assume unatoka Tegeta - Posta, hizo 13km/l huwezi kupata. Kama kuna mwenye ushahidi alete. Premio ingekosa soko
 
Premio consumption yake imekaaje?
Asilimia kubwa ya matumizi ya crown ni city driving, naomba consumption yake. Assume unatoka Tegeta - Posta, hizo 13km/l huwezi kupata. Kama kuna mwenye ushahidi alete. Premio ingekosa soko
 
Premio consumption yake imekaaje?
Premio la,ima iwe kimbilio zaid kwa sababu yenyewe inatembea km nyingi kuliko crown, ns ndio maana premio zilizojazana hapa bong ni za cc 1496 na kidogo zinafata 1790 zile zenye cc 2000 ni za kutafuta kwa tochi na hazina soko kabisa.

Crown kupata 13km/l inawezekana sana sema tu itategemea uendeshaji wako, hizo km 13 watu wanazipata hapahapa mjini na sio safari ndefu. Kwenye toyota Crown uendeshaji wako ndio unaamua gari itumiaje mafuta na usikatae.

Mbona Ist 1490 ya 2009 inatumia mafuta vizuri kuliko Ist ya 1290 ya mwaka 2006? Ulishawahi kujiuliza hilo limekaaje? Ukipata jibu hapo ndio utaelewa kwann Crown ina injini kumbwa zen haitumii mafuta mengi ukilinganisha na Brevis.
 
Mana nikiwa naye katika misere mara kaweka wese la 60k mara kaongeza 30k
kwa namna hiyo gari lazima imtese na aipark tu. Hizo gari zinataka uweke full tank ndio utaenjoy sio mafuta ya kudunduliza kama anavyofanya [emoji23]
 

Mkuu leta screenshot 13km/l kwa crown, city driving. Otherwise hizi story tuu za vijiweni
 

True say consumption inategemea na ubora wa gari lako na uendeshaji pia,thou foleni pia inachangia kiasi

Lakini kama ulivosema mi ni shahidi namba 1

Napata 10-12 km hapahapa dsm Crown 4GR
 
Brevis gari ya maana sana barabarani. Ina nguvu kubwa sana, yaani ndiyo gari inafaa kuendeshwa na Mwanaume. Unakuta Mwanaume anaendesha vitz. Ist na zingine halafu anataka atambe Kwa brevis. Gari lazima itumie mafuta
IST Ziwekewe sehemu yao maalumu aisee juzi nimetembea 400 Km...kutoka MWZ kwenda Bariadi na Kurudi na mafuta nimetumia half Tank tu yaani approx 23 Liters...
 
True say consumption inategemea na ubora wa gari lako na uendeshaji pia,thou foleni pia inachangia kiasi

Lakini kama ulivosema mi ni shahidi namba 1

Napata 10-12 km hapahapa dsm Crown 4GR
Bora useme ww unaeimiliki mkuu labda wanaweza kuamini, halafu wengi wanao bisha hawajawahi kumiliki Crown, hvyo wanavyosikia ina injini kubwa wanaamin lazima ile mafuta kumbe mambo ni tofauti. Kuna clip moja niliona Crowni ipo 180km/h halafu rpm ndio inakaribia kwenye 4 sasa hapo itakulaje mafuta? Wakati gari nyingine ukifika speed 150km/h rpm inakabia kwenye 5.
 
IST Ziwekewe sehemu yao maalumu aisee juzi nimetembea 400 Km...kutoka MWZ kwenda Bariadi na Kurudi na mafuta nimetumia half Tank tu yaani approx 23 Liters...
Itakuwa uliendesha mwendo mkali sana, nakumbuka niliwahi kutembea na Allex ya cc 1496 Km 485 nikatumia robo tank...hvyo nilikuwa na uwezo wa kurudi nilipotoka, kama ist yako ni 1290 umetumia mafuta mengi. Labda ingekuwa 1496 zen ni AWD.

Lakini hata hivyo niliwahi kuona mdau humu akisema alikuwa na Ist ya 1496 AWD alikuwa akiweka lita 10 alikuwa anapata 210Km.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…