Kuporomoka kwa Bei ya Brevis

Kuporomoka kwa Bei ya Brevis

Tatizo ni unyumbu wetu tu, tukishaanza kuparamia gari aina fulani woote tunaenda. Hii ndo inasababisha gari aina fulani kushuka paap sababu kila mtu anataka auze aungane na wenzake walipokimbilia.

Crown na Brevis zinapishana kidogo sana. Lita moja brevis 11km wkat crown 12km mpaka 12.5, hii haiwezi sababisha gap kubwa hivyo la bei. Crown 1 iliyotumika nchini unapata brevis 2 tena ukikaa vzr 3. UNAZIKUMBUKA ALTEZZA? ULIKUWA UKIITAKA UNAUZIWA TSH NGAPI? NA WAKATI HUO HUO CRESTA GX100 ILIUZWAJE? SASA HIVI ALTEZZA BEI ZAKE?

Ccm nao wanajua tabia zetu hivyo wanaitumia kucheza na ushuru wa magari, ila ukiagiza bei huko nje hazitofautiani sana. Hata altezza bei bado ni nzuri tu, ikishaingia humu ndo inakuta watu wote wimbo ni crown inaporomoka bei.
Mm ninachoelewa watu hukimbia changamoto inayowatesa na kwenda kwenye unafuu, kwann uteseke na gari ambayo kuna mbadala wake na nikali hata kimuonekano?

Brevis inzingua sana Abs master na bei yake ni laki 7 na kuendelea, na unaweza kufunga leo ukakaa nayo muda kidogo tu ikafa tena, changamoto hii imewafanya watu wengi kichukia Brevis....ndio maana watu wakaona wajisalimishe kwa mnyama Crown ambaye hana changamoto kama hyo.

W jiulize kwann Crown ni vigumu kushuka bei hadi sasa na wakati ina matoleo ya mapya zaidi. Inamaana haiwaboi wamiliki wake, inawapa wanachohitaji.
 
Mm ninachoelewa watu hukimbia changamoto inayowatesa na kwenda kwenye unafuu, kwann uteseke na gari ambayo kuna mbadala wake na nikali hata kimuonekano?

Brevis inzingua sana Abs master na bei yake ni laki 7 na kuendelea, na unaweza kufunga leo ukakaa nayo muda kidogo tu ikafa tena, changamoto hii imewafanya watu wengi kichukia Brevis....ndio maana watu wakaona wajisalimishe kwa mnyama Crown ambaye hana changamoto kama hyo.

W jiulize kwann Crown ni vigumu kushuka bei hadi sasa na wakati ina matoleo ya mapya zaidi. Inamaana haiwaboi wamiliki wake, inawapa wanachohitaji.
Hii ishu ya master ni kweli.
 
Mnaogopa brevis yaomesha wote vipato vinachechemea. Na wanao kokota mi v8 na mafungu jeshi mengine wasemeje?

NB mimi sina hata vitz old model. Kwahiyo tusiulizane
Kwa akili ya kawaida mtu mwenye kipato kikubwa atanunua Brevi ili apate nn? Mtu mwenye hela ndio huyo uliyesema anamili v8. Hata uwe ww siamini kama utapata hta wazo la hyo gari zaidi ya kuwaza magari makali zaidi
 
Mm ninachoelewa watu hukimbia changamoto inayowatesa na kwenda kwenye unafuu, kwann uteseke na gari ambayo kuna mbadala wake na nikali hata kimuonekano?

Brevis inzingua sana Abs master na bei yake ni laki 7 na kuendelea, na unaweza kufunga leo ukakaa nayo muda kidogo tu ikafa tena, changamoto hii imewafanya watu wengi kichukia Brevis....ndio maana watu wakaona wajisalimishe kwa mnyama Crown ambaye hana changamoto kama hyo.

W jiulize kwann Crown ni vigumu kushuka bei hadi sasa na wakati ina matoleo ya mapya zaidi. Inamaana haiwaboi wamiliki wake, inawapa wanachohitaji.

pia Crown ina offer vitu vingi zaidi ya brevis

Gari yenyew ishakuwa discontinued na manufacturers

Ukifatilia Vizuri soko la used crown limepanda sana
Hasa baada ya kupandishiwa ushuru

Kuagiza sahivi andaa 17-20 GRS180

Mkononi iliyonyooka kuanzia 10-14

Crown pia ina eco-mode ambayo ina consumptions nzuri ya mafuta kwa sisi tunaendesha vizuri tunapata 13km/L
 
pia Crown ina offer vitu vingi zaidi ya brevis

Gari yenyew ishakuwa discontinued na manufacturers

Ukifatilia Vizuri soko la used crown limepanda sana
Hasa baada ya kupandishiwa ushuru

Kuagiza sahivi andaa 17-20 GRS180

Mkononi iliyonyooka kuanzia 10-14

Crown pia ina eco-mode ambayo ina consumptions nzuri ya mafuta kwa sisi tunaendesha vizuri tunapata 13km/L
N kweli kabisa, watu hawakimbii gari bila sababu
 
Tatizo ni unyumbu wetu tu, tukishaanza kuparamia gari aina fulani woote tunaenda. Hii ndo inasababisha gari aina fulani kushuka paap sababu kila mtu anataka auze aungane na wenzake walipokimbilia.

Crown na Brevis zinapishana kidogo sana. Lita moja brevis 11km wkat crown 12km mpaka 12.5, hii haiwezi sababisha gap kubwa hivyo la bei. Crown 1 iliyotumika nchini unapata brevis 2 tena ukikaa vzr 3. UNAZIKUMBUKA ALTEZZA? ULIKUWA UKIITAKA UNAUZIWA TSH NGAPI? NA WAKATI HUO HUO CRESTA GX100 ILIUZWAJE? SASA HIVI ALTEZZA BEI ZAKE?

Ccm nao wanajua tabia zetu hivyo wanaitumia kucheza na ushuru wa magari, ila ukiagiza bei huko nje hazitofautiani sana. Hata altezza bei bado ni nzuri tu, ikishaingia humu ndo inakuta watu wote wimbo ni crown inaporomoka bei.
Mkuu brevis inafika 10km/l
 
pia Crown ina offer vitu vingi zaidi ya brevis

Gari yenyew ishakuwa discontinued na manufacturers

Ukifatilia Vizuri soko la used crown limepanda sana
Hasa baada ya kupandishiwa ushuru

Kuagiza sahivi andaa 17-20 GRS180

Mkononi iliyonyooka kuanzia 10-14

Crown pia ina eco-mode ambayo ina consumptions nzuri ya mafuta kwa sisi tunaendesha vizuri tunapata 13km/L
Aisee kumbe bei zimepanda hivi? Mpaka 17m ?
 
Aisee kumbe bei zimepanda hivi? Mpaka 17m ?

Bila shaka Ngoja nikupe hii


Kuitoa japan mpk bongo C&F $4000-5000
(Ambapo kwa rate ya leo ni 9.4m-11.8)

Hapo nimeangalia the cheapest Crown Athlete with at least less than 150k mileage

Ushuru+Registration kwa GRS 180 kwa sasa ni 8.6m

So kwa haraka +clearance hapo jumla appr 17m-20m

IMG_0586.jpg

IMG_0585.jpg
 
Back
Top Bottom